• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJANA WEKEZENI KWENYE KILIMO, RC KINDAMBA.

Posted on: October 5th, 2022

VIJANA WEKEZENI KWENYE KILIMO, RC KINDAMBA.

Na. Nicholas Ndabila

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amewataka vijana wajasilimali kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa kwenye Taasisi za kifedha na kuwekeza katika sekta ya Kilimo.

Mkuu wa Mkoa ametoa wito huo, 5 Oktoba alipotembelea baadhi ya Taasisi za kifedha za CRDB, NMB pamoja na NSSF zilizopo wilayani Mbozi kujionea jinsi zinavyotoa huduma kwa wananchi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyoanza Oktoba 3 na kuhitimishwa Oktoba 9.

Mhe. Kindamba amewataka vijana kutoogopa kuchukua mikopo ila wachangamkie fursa katika sekta ya Kilimo kwa kuwa Mkoa wa Songwe una fursa kede kede za kuwekeza kwenye Kilimo.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. WaziriKindamba ametoa wito kwa vijana kujihusisha zaidi na shughuli za uzalishaji mali kwa ajili ya kujiletea maendeleo na kujiepusha na mambo hatarishi ya starehe na anasa kwani kufanya hivyo vijana hao hugeuka mzigo kwa familia zao na Taifa kwa ujumla.

Pamoja na mikopo inayotolewa kwenye Taasisi za kifedha, Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluh Hassan kupitia Halmashauri wanatoa mikopo isiyokuwa na riba kwa vijana, wanawake na wenyeulemavu ambayo vijana wanaweza kutumia fursa ya mikopo hiyo kuwekeza katika sekta ya Kilimo.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.