• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAISLAMU SONGWE WAMETAKIWA KUISADIA SERIKALI KULINDA NA KUTUNZA AMANI ILIYOPO.

Posted on: July 21st, 2021

WAISLAMU SONGWE WAMETAKIWA KUISADIA SERIKALI KULINDA NA KUTUNZA AMANI ILIYOPO.

SONGWE: Waumini wa Dini ya Kislamu Mkoa wa Songwe wametakiwa kuisadia Serikali katika kulinda Amani iliyopo Tanzania na Mkoa wa Songwe.

Wito huo umetolewa na Sheikh wa Mkoa wa Songwe, Hussein Batuza  wakati wa swala ya Eid Al-Aldha iliyofanyika katika Mji wa Tunduma.

"Waislamu kama jamii ya watanzania tuendelee kuitunza na kuhifadhi Amani iliyopo ili siku tunaondoka Duniani tunaiacha Amani yetu" Sheikh Hussein Batuza.

Mkuu wa Mkoa amesema Serikali ipo na itaendelea kulinda Usalama wa raia na mali zao pamoja na kulinda mipaka yetu, hivyo hatutaruhusu mtu yeyote kupola mali za mwenzake au kusababisha maumivi kwa mwenzake.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amesema bila Amani hatuwezi kufanya Ibada, Biashara, Kilimo pamoja na shughuli za kiuchumi haziwezi kufanyika.

"Kuna maneno yanatoka kwa baadhi ya viongozi yenye viashiria vya kupoteza Amani na wanadiriki kuomba vurugu zinazotokea kwenye baadhi ya Nchi zitokee hapa Nchini sisi Waislamu tuyapuuze maneno ayo na tuwaombee wenzetu ili Nchi zao ziwe na Amani kama iliyopo Tanzania" Omary Mgumba.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa wafanyabiashara na wawekezaji kuwekeza Songwe kwakua Serikali inaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji kama  kuimarisha huduma za Afya, Maji, Ulinzi na kujenga bandari kavu kwa Mji wa Tunduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.