• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKUU WA WILAYA WATAKIWA KUJIELEZA KUTOSHIRIKI SHUGHULI YA MKOA YA MAZINGIRASONGWE:

Posted on: June 6th, 2022

WAKUU WA WILAYA  WATAKIWA KUJIELEZA KUTOSHIRIKI SHUGHULI YA MKOA YA MAZINGIRASONGWE: 

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amewataka wakuu wa Wilaya ya Momba, Ileje na Songwe kujieleza kwake ndani ya saa 24 kwa nini hawajahudhuria maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani ambayo kwa Mkoa wa Songwe yamefanyika leo Juni 6 kijiji cha Masangula Wilaya ya Mbozi.Mkuu wa Mkoa ametoa agizo ilo wakati kikao cha majumuisho baada ya kuhitimisha ziara ya siku 4 Wilaya ya Mbozi kilichofanyika mara ya baada ya kumaliza maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani katika ukumbi wa Halmashauri ya Mbozi."Mkoa unapofanya shughuli ya Kimkoa ni lazima viongozi wa kutoka Halmashauri na Wilaya washiriki bila kukosa haiwezekani Mkoa una shughuli alafu Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi na wewe unamambo yako uko hii haikubaliki" Mhe. Omary Mgumba.Mgumba amesema hategemei kuona jambo hili linajirudia tena katika shughuli zote ambazo ni za Mkoa ni lazima viongozi wa Halmashauri na Wilaya washiriki kabla ya hajachukua hatua kali.Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa amewashukuru Uongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Mbozi kwa kufanikisha kuandaa maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.