• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAFUNZI 190 KUTOKA MBEYA WATEMBELEA KIMONDO, RC KINDAMBA AWAPONGEZA.

Posted on: September 10th, 2022

WANAFUNZI 190 KUTOKA MBEYA WATEMBELEA KIMONDO, RC KINDAMBA AWAPONGEZA.

MBOZI: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amewapongeza wanafunzi wa Shule ya wasichana Ngalijembe iliyopo Mbeya vijijini kwa kuja kufanya utalii Mkoa wa Songwe katika Kimondo cha Mbozi.

Mhe. Kindamba ametoa pongezi alipokutana na wanafunzi hao, 10 Septemba kijiji cha Ndolezi Kata ya Mlangali kilipo Kimondo cha Mbozi ambapo Mkuu wa Mkoa naye alienda kufanya utalii wa ndani kwenye Kimondo.

Pia, Mhe.Waziri Kindamba amewataka wanafunzi hao kuzingatia masomo kwa kuwasikiliza walimu vizuri ili badae Taifa liweze kupata viongozi na watalamu mbalimbali katika fani tofauti.

"Naomba msidanganyike na FATAKI someni sana, kaa mbali na vishawishi" Mhe. Waziri Kindamba.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Cosmas Nshenye amewapongeza wanafunzi hao kwa kuja kukuza uchumi wa Mbozi kwani kila mwanafunzi lazima ataacha fedha Mbozi atanunua soda, juisi na wakazi wa Ndolezi watapata kipato.

Mwalimu Deus Ndimbo kutoka Shule ya wasichana Ngalijembe ametoa wito kwa Uongozi wa Shule nyingine za Mbeya na Songwe kuwaleta wanafunzi wajifunze kwa vitendo kuhusu utalii.

Tumeamua kuwaleta wanafunzi waje watalii kwa vitendo kwani wao ndio warithi wa badae wa utalii juu ya kujua maliasili za Nchi yao.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.