• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI KARIBUNI MJIFUNZE MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA, RC KINDAMBA.

Posted on: October 10th, 2022

 WANANCHI KARIBUNI MJIFUNZE MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA, RC KINDAMBA.

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Waziri Kindamba ameawakaribisha wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika kusheherekea Maadhimisho ya Siku ya Mbolea Duniani ambayo kitaifa yanafanyika Songwe kuanzia tarehe 11 hadi 13 Oktoba 2022 katika viwanja vya forest Mlowo wilayani Mbozi.

Mhe. Waziri Kindamba amesema hayo leo Oktoba 10 wakati akiongea na wananchi wa Mkoa wa Songwe kupitia Redio ya Vwawa Fm iliyopo Mji wa Vwawa, Wilayani Mbozi.

Maadhimisho yatafunguliwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba na mgeni rasimi anategemewa kuwa Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe pia kutakuwa na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya Mkoa, pamoja na Makampuni mbalimbali, wataalamu na wadau mbalimbali wa kilimo kwa lengo la kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya Mbolea.

Mhe. Waziri Kindamba ametoa wito kwa wananchi wa Songwe wakiwemo Bodaboda, bajaji, daladala, mama ntilie na mahoteli kuchangamkia fursa mbali mbali za kiuchumi zitakazo tokana na ukubwa wa ugeni katika Maadhimisho haya ya siku tatu mfululizo ili kukuza mzunguko wa fedha na kufanya uchumi wa Mkoa wetu Kukua zaidi.

Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba ametoa wito kwa wakulima, wananchi kufika na kujifunza matumizi sahihi ya Mbolea ili kufanya Kilimo chenye tija kitakacho chochea maendeleo kwa Mkoa wetu na Taifa kwa ujumla.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.