• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE MSINYAMAZIE RUSHWA YA NGONO

Posted on: March 8th, 2019

   Wanawake Mkoani Songwe wameaswa kutonyamazia vitendo vya rushwa ya ngono ili waweze kujikomboa kifikra, kiuchumi na kisiasa katika harakati za kufikia usawa wa kijinsia kwa ajili ya maendeleo endelevu.

Akisoma hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig Jen. (Mst) Nicodemus Mwangela katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika Kimkoa Wilayani Ileje, Mkuu wa Wilaya ya Mbozi John Palingo amesema rushwa ya ngono inapaswa ithibitiwe kwa nguvu zote

“Nawasihi sana wanawake wanaokumbana na udhalilishaji huu wa kuombwa rushwa ya ngono watoe taarifa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) pia wananchi wengine watoe taarifa mara tu wanapokutana na matatizo ya rushwa ili taasisi husika ziweze kushughulikia”, amesema Palingo

Ameongeza kwa kuziagiza halmashauri za Mkoa wa Songwe kuhakikisha zinaendelea kupiga vita unayanyasi na ukatili wa kijinsia, taasisi zote zinazohusika na mapambano hayo ikiwa ni pamoja na dawati la jinsia kuwachukulia hatua wote wanaofanya vitendo hivyo.

Palingo ameelekeza kuwa halmashauri ziweke mazingira mazuri ya masoko ya bidhaa na mazao yanayozalishwa na wanawake, kutenga fedha kwaajili ya kuwawezesha wanawake kuwa na uwezo wa kumiliki viwanda na kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake.

Akisoma risala kwa niaba ya wanawake Afisa Maendeleo ya Jamii Roida Kyomo amesema wanawake wamekuwa wakizalisha kidogo kutokana na ukosefu wa masoko, elimu na mitaji wakti uwezo wa kuzalisha bidhaa na mazao mengi wanayo.

Kyomo ameongeza kuwa uwepo wa mashauri 442 ya unyanyasaji wa kijinsia unaonyesha kuwa tatizo hilo bado lipo hivyo ameiomba serikali kuendelea kuhamasisha jamii kuachana na mila kandamizi kwa wanawake ili muda unaotumika katika kusuluhisha matatizo hayo utumike katika kuzalisha mali ili kukuza uchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.