• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE WAGUSA MAISHA YA WATU WENYE WAHITAJI

Posted on: March 8th, 2023


WANAWAKE WAGUSA MAISHA YA WATU WENYE WAHITAJI



SONGWE: Katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani Machi 8, Wanawake  wa Songwe kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wameadhimisha kwa  kugusa maisha ya makundi maalumu kwa kuwapatia baiskeli na viti kwa walemavu wenye mahitaji. 



Walemavu wamepatiwa vifaa hivyo na Mama Tunu Pinda mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda katika kilele cha siku ya Wanawake Duniani ambayo kwa Mkoa wa Songwe yamefanyika Wilaya ya Mbozi viwanja vya CCM.



Mama Tunu Pinda amewashukuru wanawake wa Songwe kwa hatua hiyo ambayo imegusa maisha ya watu wenye mahitaji kama walemavu.



Hatua nyingine, Mama Tunu Pinda amekabidhi bima za Afya kwa familia zenye mahitaji, kugawa tauro za kike kwa baadhi ya wanafunzi pamoja na kugawa vyeti vya pongezi kwa Wanawake ambao wamekuwa chachu ya maendeleo kwenye kilimo, biashara na jamii.



Pia, Mama Tunu Pinda ametoa wito kwa wanawake kupaza sauti ili kupinga vitendo vya ukatili vinavyofanyika katika jamii dhidi ya watoto na wanawake.



Aidha, amewataka wanawake kutumia fursa ya mikopo inayotolewa na Serikali kupitia 10% za mapato ya ndani ili kuwawezesha kiuchumi.



"Kina mama kopeni msiogope maadamu mnarudisha, kutumia fursa zinazopatikana katika maeneo yetu ili kuanzisha viwanda" Mama Tunu Pinda.



Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Esther Mahawe ambaye amemuwakulisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe ametoa wito kwa wanawake wote kuwaheshimu wanaume kwenye Ndoa bila kujali hali ya maisha aliyonayo mwaume.



Tunajua katika Ndoa Mungu anaweza kupitisha liziki kwa mwanamke, hivyo kwa nafasi iyo tusijisaau na kuanza kumzarau mwaume kisa tu Mungu kapitishia riziki kwako, Mwanaume atabaki kuwa Mwanaume na kichwa cha familia kwenye Nyumba, amesisitiza Mhe. Esther Mahawe.



Wakati mwingine ukitaka kumpa fedha mwaume, tafadhali usimpe mbele ya watoto mpe mkiwa chumbani, kama kuna ujenzi unaendelea mtume akasimamie hii ndio Heshima ambayo tunapaswa kuwapa wanaume wetu ndani ya Familia bila kujali hali yake ya uchumi amesema Mhe. Esther Mahawe.



Mhe. Esther Mahawe amesema heshima yote anayopaswa kupewa Mwanaume ndani ya Familia isije kuwa ya kutoa mwanya wa ukatili kwa mwanamke.



MWISHO.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.