• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANUFAIKA WA TASAF WATAKIWA KUANZISHA MIRADI ITAKAYO KUZA UCHUMI WAO

Posted on: April 11th, 2021

Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amewaasa wanufaika wa mfuko wa jamii wa kuwezesha kaya masikini (TASAF) kutozitumia fedha wanazopata katika anasa, badala yake wazitumie kuanzisha miradi midogo itakayowaondoa katika hali waliyo nayo.

Kauli hiyo ameitoa jana kwa nyakati tofauti alipokuwa anazungumza na wakazi wa vijiji vya Msangano, Nkala na Nkangamo wilayani Momba mkoani Songwe kuwa Serikali inatoa fedha hizo kwa lengo la kuzijengea uwezo kaya masikini ili ziweze kupiga hatua mbele na kuanza kujitegemea na kumudu kugharamia huduma muhimu za kila siku.

Alisema mradi huo utumike kama yalivyo malengo yake ya kuwatoa katika hali duni na kupata nafuu na kwamba hautakuwa wa kudumu hivyo walengwa wanapaswa kuzitumia vizuri fedha hizo.

"Tunataka kuona kama mnufaika alikuwa hali milo mitatu kwa siku baada ya mradi awe anakula, kama watoto walikuwa hawaendi shule wawe wana kwenda shule, kama hakuwa na mbuzi apate na hata makazi bora ikiwezekana kwakuwa fedha hizi sio za milele zina mwisho wake" alisema Naibu Waziri Ndejembi

Aidha aliongeza kuwa wakati mpango wa TASAF  awamu ya tatu mzunguko wa pili unaotarajia kuanza Julai, vijiji ambavyo havikunufaika vitaingizwa ili navyo vinufaike na kuonya wale wanaoshawishi wengine wasijitokeze kwenye mchakato wa kubaini wanufaika unaofanyika katika vijiji.

Naye Mbunge wa Momba Condesta Sichalwe aliwataka wakazi wa eneo hilo kuendelea kuiunga mkono Serikali yao sikivu na kuwa changamoto mbalimbali zinazowakabili zinafanyiwa kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.