• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WASANII WAPATA AJIRA MBADALA YA GUTA MPEMBA, TUNDUMA

Posted on: September 17th, 2017

KIKUNDI CHA SANAA MPEMBA CHAPATIWA PIKIPIKI (GUTA) KWA AJILI YA MRADI WA USAFI WA MAZINGIRA MPEMBA NA KATETE

Kikundi cha Sanaa cha Top in  Songwe Art Group cha Mpemba, Halmashauri ya Mji ya Mji wa Tunduma kimepatiwa Guta na  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa kwa ajili ya mradi wa kuzoa takataka katika Mitaa za Mpemba na Katete.

Aidha katika Kata hizo mbili kutakuwa na makundi mawili. Kundi la kwanza la wafanya biashara 250 ambao watakuwa wanachangia  Shilingi 6,000 kwa mwezi na kundi la pili ambalo ni la Wakazi wa kawaida wapatao 2,000 hawa watachangia Shilingi 1000 kwa mwezi.

Kaimu Mkurugenzi  Regina Shashi alisema kuwa biashara kama itakwenda kama ilivyokusudiwa kikundi kitakuwa na uwezo wa kununua Guta moja kila baada ya miezi mitatu na kwa mwaka mmoja wanaweza kuwa na Guta nne.

Akizungumzia upande wa manufaa kwa Wanakikundi, Shashi alisema Wanakikundi watapata posho ya shilingi 40,000 kwa mwezi na kwamba kutakuwa na uhakika wa kugharamia matengenezo ya Guta hilo.

Kaimu Mkurugenzi aliongeza kuwa Halmashauri ya mji wa Tunduma itakuwa karibu na Kikundi hicho ili kutoa elimu zaidi ya ujasiliamali  kwamba wanafanya kazi zingine zaidi ya kuzoa Taka, usimamizi wa fedha, matengenezo na shughuli za utawala kwa ujumla.

Pamoja na hayo Shashi alisema kikundi hicho kitakuwa katika nafasi ya kupewa asilimia 10 inayotolewa kwa ajili ya Wanawake na Vijana kwa sababu tayari wana shughuli ambayo inaonekana na kupimika.

Kiongozi wa Kikundi hicho Bariki Mbogela alisema kuwa Guta litakuwa mkombozi wao kwa sababu fedha watazopata zitawasaidia kurekodi kazi zao za sanaa kwenye studio zenye ubora wa juu na kuwapatia wasanii mahitaji ya kila siku.

Afisa Afya wa Halmashauri ya Mji wa Tunduma  Godfrey Simbeye aliongeza kuwa Mradi huo utapunguza gharama za Serikali kuzoa taka kwani eneo la Halmashuri ni kubwa ukilinganisha na uwezo wa Halmashauri, pia alisema kutokana na hali hiyo hali ya mazingira ilikuwa inaharibika kutokana na takataka kuanza kuoza kabla ya kuzolewa hivyo kupelekea hali hatarishi kwa afya ya Watu na viumbe vingine.

Pia aliongeza kuwa Halmashauri imeanza kutoa elimu kwa wamiliki wa Mabasi ya Abiria kuhakikisha wanakuwa na vyombo vya kutupia takakata na hatua kali zitachukuliwa kwa watakaokaidi agizo hilo. Vilevile alisema kuwa Halmashauri imeanza kutengeneza vifaa vya kutupia takataka  ili kuweka maeneo ambayo watu wanapita na kuweka matangazo ya namna ya kuweka takataka kwenye vyombo hivyo na kuwa mtu akionekana akitupa atachukuliwa hatua za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.