• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI TUPENDANE, TUHESHIMIANE, RAS SENEDA.

Posted on: August 9th, 2022

WATUMISHI TUPENDANE, TUHESHIMIANE, RAS SENEDA.

SONGWE: Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amewataka watumishi wa Mkoa wa Songwe kufanya kazi kwa kupendana, kuheshimiana na kuthamini kazi ya mwenzake ili kufanikisha malengo ya Taasisi.

Katibu Tawala, Bi. Happiness Seneda amesema hayo alipokutana na watumishi wa  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe kwa lengo la kufahamiana na kuweka mikakati ya kazi ili kufanikisha malengo ya Taasisi.

Bi. Happiness Seneda amewataka watumishi kutotengenezeana ajali kazini Ili mwenzako aweze kuaribikiwa na kazi, badala yake amewataka watumishi kukumbushana pale unapoona mwenzako anaenda kuaribikiwa basi una mwambia ili aondokane ha hali hiyo.

"Ndugu zangu watumishi tunategemeana kwenye kazi izi, ofisini bila katibu mhutasi ofisi haiendi, bila muhudumu ofisi haiendi hivyo kila moja aweze kuthamini kazi ya mwenzake" Bi. Happiness Seneda Katibu Tawala Mkoa wa Songwe.

Pia, Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amewataka watumishi kutumia fursa zilizopo kwenye maeneo kujiendeleza kiuchumi wao na familia zao.

Amesema Mtumishi ulipo hapo ndio kuna fursa zitumie, kwani ukienda sehemu au ukiwa unaishi hapo ndio malaika wako wa Baraka walipo.

Wakati huo huo, Bi. Happiness Seneda amewataka watumishi kila mmoja kwenye nafasi yake kuwajibika kwa kufanya kazi ili kufikia malengo ya Serikali kwani Serikali inawategemea sana watumishi kufikia malengo ya kuwatumikia wananchi.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.