• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WHO KUONGEZA NGUVU UCHANJAJI WA CHANJO YA UVIKO 19 SONGWE

Posted on: July 14th, 2022

WHO KUONGEZA NGUVU UCHANJAJI WA CHANJO YA UVIKO 19 SONGWE


SONGWE: Shirika la Afya Duniani (WHO) kuongeza nguvu YA Uchanjaji wa chanjo ya UVIKO-19 Mkoa wa Songwe.


Hayo yamesemwa na muwakilishi wa WHO, Dkt. Onekwe Chima alipokutana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba ofisini kwake, Julai 14.


Dkt. Onekwe Chima amesema wananchi wanahitaji elimu ya kutosha kuhusu chanjo ya uviko 19, ushirikiano wa kutosha kwa ngazi zote kutoka vijiji hadi Mkoa na njia mbadala ya kuwafikia walengwa hasa pale wanapokuwa mbali na vituo vya afya kwa ajili ya kupata chanjo ya UVIKO-19.


"Tumetoka Mkoa wa Manyara tumeona jinsi wananchi walivyoitikia chanjo na Manyara ilikuwa ya mwisho lakini saizi imetoka uko na saizi imebaki Songwe ndio Mkoa wa mwisho" Dkt. Onekwe Chima.


Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Rose Alfred amesema awamu hii ya sasa wamejipanga kuhakikisha kila kituo cha Afya kinatoa huduma ya chanjo ya UVIKO-19 na kuripoti kwa mamlaka husika kila siku, ikiwa ni pamoja na kufanya huduma mkoba ili kuweza kuwafikia wananchi waliombali na vituo vya kutolea huduma za afya, kupita Nyumba kwa nyumba na sehemu zote ambazo kunamkusanyiko wa watu ili kuhakikisha kila mlengwa anapatiwa chanjo ya UVIKO-19.


"Kwa wale ambao tutawapatia chanjo ya UVIKO-19 inayohitaji dosi mbili kukakilisha dosi, tutaweka utaratibu wa kuwafatilia na kuwakumbusha pale dozi ya pili inapohitajika ili kuweza kukamilisha dosi na kuwakinga wananchi wengi dhidi ya maambumizo ya UVIKO-19" Dkt. Rose


Naye Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amesema Serikali itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19 na watahakikisha chanjo inapatikana kote ndani ya Songwe.


Pia, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa viongozi kuanzia ngazi ya kijiji hadi Mkoa kutoa elimu kwa wananchi na kuhamasisha kampeni ya chanjo ya UVIKO-19.


Kwa sasa Mkoa wa Songwe unashika nafasi ya Mwisho katika utoaji chanjo ya UVIKO-19 kitaifa.


MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.