• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KWANZA YA RAIS MAGUFULI MKOA WA SONGWE

Posted on: October 4th, 2019

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameanza ziara ya siku mbili katika Mkoa wa Songwe ambapo ameonyesha kuridhishwa na kasi ya maendeleo katika Mkoa huu licha ya kuwa umeanzishwa miaka mitatu iliyopita.

Rais Dkt John Pombe Magufuli mara baada ya kuanza ziara yake amezuiliwa na umati wa wananchi katika vijiji vya Nanyala, Mahenje na Mlowo ambapo amewasalimia, amesikiliza na kutatua kero mbalimbali.

Rais Dkt John Pombe Magufuli ameagiza wananchi wa Kijiji cha Nanyala waendelee kufanya shughuli za Kilimo katika eneo la ekari 2,115 linalogombewa kati ya kijiji na kiwanda cha Saruji cha Mbeya, aidha ameelekeza mawaziri husika kujadili namna ya kufuta kesi za wanakijiji 23 za mgogoro huo

Aidha ameelekeza shilingi bilioni 2 zilizobaki katika ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe zitumike katika kukamilisha ujenzi wa maboma ya vyumba vya madarasa zaidi ya elfu moja yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi.

Rais Dkt John Pombe Magufuli pia ameagiza hekari 50 kati ya 200 katika kituo cha Utafiti wa Kahawa (TACRI) Wilaya ya Mbozi zitumike katika kujenga soko la kisasa la mazao pamoja na stendi ya Mkoa wa Songwe na agizo hili lianze kutekelezwa ndani ya Wiki moja.

Rais Dkt John Pombe Magufuli ameweka jiwe la Msingi katika mradi wa maji wa Mantengu na kuongeza kiasi cha Shilingi milioni 100 katika Mradi huo ili mradi huo ukamilishwe na kuboreshwa ili kuwezesha kutoa maji lita milioni tatu badala ya moja za sasa.

Wakati huo huo Rais Dkt John Pombe Magufuli amezindua kiwanda cha Kahawa cha GDM chenye uwezo wa kukoboa kahawa tani 10 kwa saa na kina thamani ya shilingi bilioni saba huku akimuagiza Waziri mwenye dhamana kuhakikisha barabara ya kuelekea katika kiwanda hicho inajengwa kwa kiwango cha lami.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amemuomba Rais Dkt John Pombe Magufuli awezeshe Mkoa huu kuwa na chuo cha Ufundi ambapo kwa sasa hakuna.

Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amemshukuru Rais Dkt John Pombe Magufuli kwakuwa mpaka sasa Mkoa wa Songwe umepokea shilingi bilioni 251.6 kwa ajili ya miradi na shughuli mbalimbali za maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.