• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

Posted on: July 26th, 2017

ZIARA YA WAZIRI MKUU MKOANI SONGWE

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alifanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Songwe kuanzia tarehe 20 – 24/07/2017.

Katika ziara hiyo Waziri Mkuu alitembelea miradi mbalimbali. katika Wilaya ya Momba alitembelea mradi wa umwagiliaji wa Naming’ongo, Ujenzi wa nyumba za Watumishi na kuzindua zoezi la upimaji ardhi na kutoa Hati za Kimila. Halmashashauri ya mji wa Tunduma Mradi wa Kituo cha pamoja cha ushuru wa Forodha (One Boarder Stop Post – OSBP), Ileje alizindua ujenzi wa OPD. Kuzindua daftari la Wakazi la Kieletroniki (ambalo litatumika kuanzia ngazi ya kitongoji, na  kuzindua kitabu cha Rasimu ya Mkoa wa Songwe.

Katika majumuisho alisema haya

Ulinzi na usalama

Wananchi waendelee kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama wa wananchi katika mapambano dhidi ya mauaji ya wazee, Walemavu wa ngozi – Albino, ulevi uliokithiri wa Viroba, mila zilizopitwa na wakati za kunyima haki wanawake na watoto

Pembejeo Feki

Alikemea swala la usambazaji wa pembejeo feki na kuwa serikali hitafumbia macho na alitaka ushirikiano ili kudhibiti usambazaji wa pembejeo feki

Aiongeza kuwa pembejeo zenye ubora  zisambazwe kwa wakati.  Uchumi

Waziri Majaliwa alisema kuwa Serikali itaendea kuwatambua na kuwaendeleza wabunifu

Uhakika wa chakula

 Waziri aliwataka Wananchi wahakikishe wanakuwa na uhakika wa chakula kwa kupanga bajeti ya mavuno ili kuepukana na balaa la njaa

Upimaji wa ardhi

 Wazari Mkuu alitoa shukrani kwa mkoa wa Songwe kuzingatia umuhimu wa ardhi kwa kuanza  kupima ardhi yake ili iongeze thamani na kuwa na matumizi bora ya ardhi – kilimo, mifugo, hifadhi ya misitu, hifadhi ya wanyama pori na kuwa hilo litapunguza migogoro isiyo ya lazima.

Afya

 Wazir Majaliwa alisisitiza umuhimu wa kuboreshewa huduma za Afya – Mama Wajawazito na Watoto

 

Elimu

Kutokana na serikali kutoa huduma za elimu bure Waziri aliagiza ujenzi wa shule za ufundi ili kuongeza  ajira ya vijana

 Vile vile kila shule ianzishe madarasa ya awali ambayo yatatumika kuwaandaa  watoto wa miaka minne hadi mitano kabla ya kujiunga na darasa la kwanza.

Akijibia changamoto la uhaba wa Waalimu Waziri Majaliwa alisema serikali imetoa   vibali vya ajira kwa watumishi 10,184 kuziba pengo la Watumishi Feki, na vibali vingine 52,436 ambapo katika idadi hiyo wamo Watumishi wa Sekta ya Elimu.

Utalii

Waziri mkuu aliagiza kuwa Vivutio vya utalii viboreshwe na kutangazwa ili kuongeza vyanzo vya mapato.

Ulevi

Waziri Mkuu Majaliwa alikemea tabia ya ulevi na kuzuia usambazaji na matumizi ya pombe aina ya Viloba.

Hali ya ulinzi na Usalama mipakani

Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa alitoa  agizo kuwa waliojenga nyumba ndani ya mita 50 kutoka mpaka wa Tanzania na Zambia wabomoe  wenyewe katika muda wa siku.

Akiongea kwenye mkutano wa hadhara baada ya kutembelea mpaka huo aliagiza Halmashauri kuweka alama kwenye nyumba 250 ambazo zilibainika kuwa ndani ya eneo huru (No man’s land) zinatakiwa kubomolewa kwa muda usiozidi miezi mitatu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.