• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JAJI MKUU WA TANZANIA PROFESA IBRAHIM JUMA ATEMBELEA MKOA WA SONGWE

Posted on: November 11th, 2019

  Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma amefanya ziara ya siku Moja Mkoani Songwe na kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela Mpango wa Miaka mitano wa maendeleo ya Miundombinu ya Mahakama ya Tanzania.

Makabidhiano hayo yamefanyika mepama leo katika Ofisi ya Hakimu wa Mkoa wa Songwe iliyopo Vwawa ambapo Profesa Juma amesema Mpango huo utamwezesha Brig. Jen. Mwangela kusaidia kusukuma na kufuatilia utekelezaji wake.

Profesa Juma amesema ziara yake imelenga kuona Changamoto ambazo Mahakama inazo kwa Mkoa wa Songwe na kwakuwa Mkoa huu ni Mpya, wameuweka katika mipango yao kwakuwa kila sehemu yenye changamoto imewekewa ratiba ya utekelezaji.

“Bila kuweka Mpango Mkakati na kupanga lini unafanya nini, utajikuta hakuna chochote kitakacho onekana kinafanyika, kwahiyo ninakukabidhi Mpango wa Miaka Mitano wa Maendeleo ya miundombinu ya Mahakama ya Tanzania, si kwa hapa Mkoani tu hadi katika Wilaya za Mkoa wa Songwe.”, amesema Profesa Juma.

Katika ziara yake Profesa Juma ametembelea Mahakama ya Mwanzo ya Mlowo, amekagua eneo itakapojengwa mahakama ya Mkoa katika kijiji cha Selewa Wilayani Mbozi na kutembelea Mahakama ya Mkoa iliyopo Vwawa.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amemshukuru Profesa Juma kwa kutembelea Mkoa wa Songwe na ana matuamini kuwa Miundo mbinu ya Mhakama Mkoani hapa itaboreshwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.