• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS DKT HAWASSI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

Posted on: February 13th, 2026

RAS DKT HAWASSI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU


Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Frank Hawassi, leo tarehe 13 Februari 2026, ameongoza kikao cha tathmini ya miundombinu ya elimu mkoani humo.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe, kikihusisha maafisa elimu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri pamoja na wadhibiti ubora wa shule.

Akizungumza katika kikao hicho, Dkt. Hawassi alisisitiza umuhimu wa kuboresha miundombinu ya elimu ili kuhakikisha mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia, sambamba na kuongeza ubora wa elimu kwa wanafunzi.

Aidha, aliwataka wadau wa sekta ya elimu kushirikiana kwa karibu katika kutekeleza mipango ya maendeleo, hususan katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya miundombinu ya shule.

Kikao hicho kimekuwa sehemu ya juhudi za Mkoa wa Songwe katika kuimarisha sekta ya elimu na kufikia malengo ya maendeleo endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS DKT HAWASSI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

    February 13, 2026
  • SIKU 100 ZA TABASAMU SONGWE RC MAKAME AZINDUA MFUMO WA KIDIJITALI “SONGWE SERIKALI KIGANJANI”.

    February 07, 2026
  • RC MAKAME APONGEZA UTENDAJI WA MAHAKAMA YA TANZANIA ASEMA NI NGUZO YA MAENDELEO

    February 02, 2026
  • RC MAKAME AONGOZA JUKWA LA WADAU WA KILIMO MKOANI SONGWE.

    November 19, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.