• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FUATILIENI WAUZAJI WA PEMBEJEO FEKI - BRIG. JEN. MWANGELA

Posted on: March 14th, 2019

  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Mst) Nicodemus Mwangela amewaagiza wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Songwe kufanya ufuatiliaji wa wafanyabiashara wanaouza pembejeo feki za kilimo kwa wakulima.

Brig. Jen. (Mst) Mwangela ametoa agizo hilo mapema leo katika kikao cha wadau wa Kahawa kanda ya Mbeya ambayo inajumuisha mikoa ya Songwe, Katavi, Rukwa na Mbeya.

Amesema kitendo cha mkulima kununua pembejeo feki ni kumsababishia umasikini mkulima huyo jambo ambalo halikubaliki katika Mkoa wa Songwe.

Brig. Jen. (Mst) Mwangela pia amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kuhakikisha maafisa ugani wanakwenda kufanya kazi shambani kwa wakulima na sio ofisini, kwani kazi yao kubwa ni shambani.

"Kitendo cha mkulima wa Kahawa kupata robo kilo kwenye mche wa kahawa ni matokeo ya wataalamu wa Kilimo kutowatembelea wakulima mashambani, kwani wenzetu Kenya kwa mche moja wa Kahawa wanapata kilo sita ili swala haliwezekani, kwani sisi tuna ardhi nzuri yenye rutuba na watalamu wapo, hivyo nasisitiza tena watalamu wa kilimo kwenda shambani kwa wakulima", amesema Brig. Jen. (Mst) Mwangela.

Brig. Jen. (Mst) Mwangela amezielekeza Halmashauri zote kuhakikisha zinapanda miche laki mbili ya kahawa ili kuendeleza zao la Kahawa, kwani Kahawa ndio chanzo cha uhakika cha mapato kwa Halmashauri kwa sasa.

Kikao cha wadau wa Kahawa kwa Kanda ya Mbeya kina lengo la kuendeleza zao la Kahawa pamoja na kubadilishana uelewa juu ya mnada wa kahawa ambao utaanza kufanyika kikanda mwaka huu katika Mkoa wa Songwe kwenye Halmashauri ya Mbozi.

Matangazo

  • ILEJE DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • MBOZI DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • MOMBA DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • SONGWE DC WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Dkt. SHEKALAGHE VYUO VYA UFUNDI NA VIKUNDI VYA UJASILIAMALI MBADALA KWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJAFAULU

    December 18, 2020
  • Dkt. SHEKALAGHE AZITAKA HALMASHAURI KUTENGA PESA YA UJENZI WA MADARASA KILA MWAKA.

    December 18, 2020
  • SONGWE: WANANCHI WAHIMIZWA KUPIMA UKIMWI KUJUA HALI ZAO KUEPUKA MAAMBUKIZI MAPYA

    December 01, 2020
  • RC MWANGELA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUUZA BIDHAA KWA BEI ELEKEZI

    November 28, 2020
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Boma Road, Vwawa, Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.