• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

AFISA MIPANGO NA MGANGA MKUU WASIMAMISHWA KWA MATUMIZI YA FEDHA MILIONI 800 BILA MUONGOZOILEJE:

Posted on: June 13th, 2022

AFISA MIPANGO NA MGANGA MKUU WASIMAMISHWA KWA MATUMIZI YA FEDHA MILIONI 800 BILA MUONGOZOILEJE: 

Mkuu wa mkoa wa Songwe Omary Mgumba amemuagiza katibu Tawala wa mkoa, Ndg. Missaile Musa huo kuwasimamisha kazi na kuwachukulia hatua za kinidhamu afisa mipango na mganga mkuu wa halmashauri ya Ileje Kwa kudanganya kutokuwa na mwongozo wa matumizi ya fedha milioni 800 zilizoletwa na Serikali kwa ajili ya uboreshaji wa Hospitali ya Wilaya ya Ileje.Mgumba amefikia maamuzi hayo wakati wa ukaguzi wa mradi wa maendeleo ikiwepo ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi ICU huku wakidai hawana mwongozo kutoka serikaliniMgumba amesema muongozo unataka milioni 800 zijenge chumba cha kuhifadhi maiti, wodi mbili ya wanaume na wanawake kwa ajili ya kulaza wagonjwa waliofanyiwa upasuaji na chumba cha upasuaji.Mgumba ameshangazwa na uongozi wa Hospitali kuanza kujenga ukuta wa kuzunguka Hospitali, njia za kupitia wagonjwa (walk way) na kufanya ukarabati wa jengo la wagonjwa wa nje OPD kinyume na muongozo uliopo."Hata kwenye nyumba zetu binafsi uwezi kuanza na kujenga ukuta wakati nyumba ya kuishi haijaisha" Mhe. Omary Mgumba.Afisa mipango na Mganga mkuu wa halmashauri ya Ileje waliopoulizwa wanajenga kwa kufuata muongozo upi wao walisema hawajawai pata muongozo.Kufuatia hatua hiyo, Mkuu wa Mkoa ameiagiza TAKUKURU Ileje kufanya uchunguzi wa kina kama kuna njia hovyo yeyote ambayo watumishi hao walitaka kuifanya dhidi ya mradi wa Hospitali ya Ileje.Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa ameagiza ujenzi wa wodi mbili pamoja na jengo la kuhifadhi maiti uanze mara moja kama muongozo unavyotaka pamoja na kuendelea na ukamilishaji wa jengo la wagonjwa wa nje kwa fedha iliyobaki kiasi cha milioni 500."Kwa sababu hapa kuna jengo la upasuaji ni vyema kuanza kujenga majengo yaliyotakiwa kujengwa na kusitisha ujenzi wa uzio mpaka pale majengo muhimu ya kutolea huduma yatakapokamilika" Mhe. Omary Mgumba.Mkuu wa Mkoa anaendelea na ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi kusikiliza kero.MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.