• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARABARA YA MPEMBA ISONGOLE YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 98

Posted on: March 31st, 2021

Barabara ya Mpemba Isongole iliyopo Wilaya ya Momba na Ileje yenye Urefu wa kilomita 59.1 imekamilika kwa asilimia 98 na wananchi wameanza kuitumia.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig.Jen.Nicodemus Mwangela ameyasema hayo mapema leo alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo iliyowekewa jiwe la msingi Oktoba 2019 na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli ambapo aliagiza barabara hiyo ikamilike mapema kwani inaunganisha pia nchi ya Tanzania na Malawi.

Mkuu wa Mkoa amesema ujenzi wa Barabara hiyo inayojengwa kwa kiwango cha lami unaendelea vizuri sehemu iliyobaki ni kukamilisha Daraja linalounganisha Nchi ya Malawi na Tanzania na kipande cha mita 300 kuwekwa lami kilichopo kwenye Daraja hilo.

"Mkandarasi yupo anaendelea na kazi ya sehemu zilizobaki pamoja na kutatua changamoto zinajitokeza, akimaliza kutakuwa na kipindi cha matazamio cha mwaka moja" Brig. Jen. Mwangela.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa imefanyika baada ya kuwepo kwa malalamiko ya wananchi kuwa kuna uharibifu unafanyika kwenye Barabara hiyo pamoja na baadhi ya maeneo kujengwa kwa chini ya viwango.

Aidha Mkuu wa Mkoa amewatoa hofu wananchi kuwa watalamu wa TANROAD walio waadilifu wapo kazini wanafuatilia kila hatua inayofanyika na sehemu ambazo zina shida wamezigundua kwa hatua zaidi.

Meneja wa TANROAD Mkoa wa Songwe Eng. Yohana Kasaini amesema kuna baadhi ya maeneo pembezoni mwa Barabara yamepata nyufa ndogo na kazi anayofanya Mkandarasi kwa sasa ni kuziba zile nyufa kwa kutumia lami Ili maji ya mvua yasiendelee kuingia ndani na kuharibu tabaka nyingine na punde mvua zitakapoisha Mkandarasi ameelekezwa kuyakata hayo maeneo na kufanya uchunguzi wa kina na kuyarekebisha vizuri kwa mujibu wa uchunguzi wa Mkandarasi.Mkuu wa Mkoa ameambatana na wajumbe wa Kamati ya Usalama na viongozi wa Wilaya ya Ileje.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.