• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BRIGEDIA JENERALI MWANGELA AWATAKA MAAFISA KILIMO KUPATA MAFUNZO

Posted on: August 21st, 2018

Maafisa Kilimo na Ugani wametakiwa kupata mafunzo kuhusu namna ya kuongeza uzalishaji bora wa zao la Kahawa kutoka katika kituo cha utafiti wa zao la Kahawa (TaCRI) kilichopo Mbimba Wilayani Mbozi Mkoani Songwe.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali Nicodemas E Mwangela ametoa maelekezo hayo mapema jana wakati alipotembelea kituo cha Tacri-Mbimba ili kukagua shughuli za kituo hicho.

Brigedia Jenerali Mwangela amesema atasimamia kuona maafisa Ugani na Kilimo kutoka halmashauri za Mkoa wa Songwe wanapata mafunzo ili tafiti za zao la kahawa zinazofanyika kituoni hapo ziweze kuwanufaisha wakulima wengi wa Kahawa Mkoani hapa.

“Nimeona hakuna kushikamana kati ya Tacri na Halmashauri za Wilaya, tafiti nzuri wanazofanya bado hazijawafikia wananchi wengi hasa wakulima wadogo ambao kama serikali tunatamani wazalishe vizuri, hivyo basi nitasimamia maafisa kilimo waje hapa kujifunza”, amesisitiza.

Ameeleza kuwa zao la kahawa ni la mkakati kwa mkoa wa Songwe ambalo linaweza kuwakomboa wakulima kutoka kwenye umasikini lakini tafiti zinaonyesha kushuka kwa uzalishaji wa zao hilo.

“Taarifa zinaonyesha mwaka 2015 mkoa ulizalisha tani 12 za kahawa, mwaka 2016 uzalishaji ulishuka mpaka kufikia tani 7 na mwaka 2017 tumezalisha tani 8, takwimu hizi inabidi zipande, tuzalishe kahawa nyingi na bora”, ameongeza.

Brigedia Jenerali Mwangela amesema pia atazisimamia halmashauri ili zitenge asilimia 20 ya mapato yanayopatikana kutoka katika kahawa ili fedha hizo zitumike kuboresha uzalishaji wa kahawa katika halmashauri hizo.

Naye Mtafiti kutoka TaCRI Charles Mwingira amesema kituo hicho kinahudumia wakulima 69,935 kutoka mikoa ya Songwe, Mbeya, Rukwa na Katavi na kimeweza kusambaza miche zaidi ya milioni 7.5.

Mwingira amesema kituo hicho pia kimeweza kusajili na kusambaza aina 23 za miche bora ya kahawa huku miche hiyo ikiwa na sifa za kuzalisha zaidi, zina punje kubwa na bora na ia zinakinzana nan a magonjwa.

Ameongeza kuwa changamoto mojawato inayosababisha kushuka kwa uzalishaji wa za la kahawa ni kutokana na kuwa halmashauri hazijawekeza vizuri katika zao la kahawa.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.