• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BWAWA LA MUKO LA BILIONI 1.9 KUHUDUMIA WANANCHI 11,671, MIFUGO 3,430.

Posted on: May 18th, 2023

BWAWA LA MUKO LA BILIONI 1.9 KUHUDUMIA WANANCHI 11,671, MIFUGO 3,430.

MOMBA: Serikali imekamilisha ujenzi wa bwawa la muko lililopo kijiji cha Mengo Halmashauri ya Wilaya ya Momba lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 166,386,474 ambalo limegharamia shilingi Bilioni 1,991,509,182.55.

Mhandisi Jackson Waledi kutoka Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa amesema bwawa la Mengo litahudumia wananchi wapatao 11,671 pamoja na mifugo ipatayo 3,430.

Mhandisi Jackson Waledi amesema kulingana na usanifu uliofanyika maji yatakuwa yanatumika kwa mwaka mzima kwa kipindi cha miaka 50 ijayo kuanzia kiangazi hadi masika wananchi wanaozunguka Bwawa ili watanufaika

"Kwa sasa bwawa la Muko limekabidhiwa kwa RUWASA ili waweze kujenga sehemu ya kutibu maji kwa ajili kuwasambazia wananchi maji" Eng. Waledi.

Pia, Mhandisi Jackson Waledi amesema Bwawa la Muko kuna sehemu maalumu iliyojengwa kwa ajili ya kuhudumia mifugo ipatayo 3,430 ya wakazi wa Mengo na vijiji jiran

Ephrahim Swila mkazi wa kijiji cha Mengo pamoja na kuishukuru Serikali kwa Bwawa la Muko ameiomba Serikali kuimarisha ulinzi kwa kuweka uzio kwenye bwawa lote.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inawajali wananchi hivyo ni jukumu la kila mwananchi kuweza kulinda mradi huu kwa kuepuka kufanya shughuli za kibinadamu kwenye Bwawa.

"Tusioshe vyombo, tusifue nguo hapa, wala kuogea hapa kwani kufanya hivyo ni kuchafua maji ambayo tunategemea ya wahudumiwe wananchi" Mhe. Dkt. Francis Michael.

Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema mradi wa Bwawa la Muko unaenda kuongeza wigo wa upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa Kata ya Ikana.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.