• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dkt. SHEKALAGHE VYUO VYA UFUNDI NA VIKUNDI VYA UJASILIAMALI MBADALA KWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJAFAULU

Posted on: December 18th, 2020

Dkt. SHEKALAGHE  VYUO VYA UFUNDI NA VIKUNDI VYA UJASILIAMALI  MBADALA KWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJAFAULU

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Dkt. Self Shekalaghe amesema kuanzisha kwa vikundi vya ujasiliamali na vyuo vya ufundi kwenye Halmashauri ni mbadala kwa wanafunzi ambao hawajafaulu kwenda Sekondarii.

Katibu Tawala amesema ayo wakati wa kutangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwa 2021 na kubaini wanafunzi wapatao 11,558 hawajulikani walipo.

Dkt. Shekalaghe amesema wanafunzi waliomaliza Darasa la saba 2020 wakati wanajiunga Darasa la kwanza 2013 walikuwa 29,835 lakini wanafunzi 6,136 hawakufika Darasa la saba.

Aidha wanafunzi 23,696 walisajiliwa Darasa la saba 2020 na walikuwa tayari kufanya Mtihani lakini waliofanya mtihani walikuwa 23,158 na 541 hawakufanikiwa kufanya Mtihani.

Wakati huhuo kwa wanafunzi 23,158 waliofanya Mtihani ni wanafunzi 18,277 ndio waliofaulu na 4,881 hawajafaulu.

"Ukijumlisha 541 ambao hawakufanya Mtihani, 6,136 ambao walidondoka hawakufika darasa la saba na  hawa 4,881 ambao hawajafaulu unapata wanafunzi 11,558 ambao kama Mkoa hatujui wako wapi" Dkt. Shekalaghe.

Dkt. Shekalaghe ametoa wito kwa Halmashauri kutumia vizuri Chuo cha ufundi stadi VETA cha Ileje na Myunga cha Momba kuhamasisha Wazazi/walezi  kupeleka wanafunzi,  kwani Mwanafunzi akitoka VETA atakuwa msaada kwa jamii na Taifa.

"Kwa ili la VETA kila Halmashauri ione umhimu wa kuwa na Chuo cha VETA kwake kwa kuanza na fani za kawaida kwanza" Dkt. Shekalaghe.

Pia, Dkt. Shekalaghe amezitaka Halmashauri kusimamia mikopo ya vijana kwa ajili ya vikundi vya ujasiliamali.

Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Mhe. Joseph Mkude amesema Chuo cha VETA Serikali imewekeza fedha zaidi Bilioni 1 na kina madarasa, mabweni na vifaa vya kujifunzia lakini wanafunzi wapo 24 tu, tukitumie vizuri Chuo iki Wazazi/walezi kutoka Halmashauri zote za Mkoa tukitumie vizuri kwa ajili ya wanafunzi ambao hawajabahatika kufaulu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.