• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ELIMU YA UNAWAJI MIKONO IONGEZEKE KUJIKINGA MAGONJWA YA MLIPUKO.

Posted on: October 15th, 2022

ELIMU YA UNAWAJI MIKONO IONGEZEKE KUJIKINGA MAGONJWA YA MLIPUKO.

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba ametoa rai kwa viongozi wa Afya Mkoa na katika Halmashauri zote za mkoa wa Songwe kuongeza kasi ya kutoa Elimu ya unawaji mikono ili kujikinga na magonjwa ya tumbo na magonjwa mengine ya mlipuko ambayo yana uathiri mkoa.

Mkuu wa Mkoa, Mhe. Waziri Kindamba amesema hayo leo Oktoba 15, 2022 katika maadhimisho ya siku ya unawaji mikono Dunia ambayo kimkoa yamefanyika katika kijiji cha Mbozi kata ya Igamba wilayani Mbozi.

Mhe. Kindamba amesema Mkoa wa Songwe haufanyi vizuri katika suala la unawaji mikono, uharibifu wa mazingira na ujenzi wa vyoo bora, hivyo kuwa kwenye hatari ya kupata magonjwa ya tumbo na milipuko kama vile kipindupindu, UVIKO-19 na Ebola.

‘’Tunashika nafasi ya 17 kitaifa katika suala zima la unawaji mikono , ambapo kaya zenye vifaa vya kunawa mikono katika vyoo ni 35%, wakati wastani wa unawaji mikono kitaifa ni 41% Mikoa mitatu inyoongoza kwa kuwa navifaa vya kunawia mikono ni Iringa 77%, Njombe 73.9% na Kilimanjaro 73.5%“ Mhe. Waziri Kindamba.

Mkuu wa Mkoa, Mhe. Waziri Kindamba amesema Halmashauri ya mji Tunduma ipo chini kwa 17%, Songwe 27%, Mbozi 36%, Ileje 39% na Halmashauri ya Momba 44% kutokana na takwimu izi mkoa una kazi kubwa ya kufanya kwa viongozi wakishirikiana na wananchi katika Halmashauri kuwa na mipango ya kuhakikisha tunakuwa na vyoo bora sambamba na vifaa vya kunawia mikono katika kaya , shule na maeneo mbalimbali zinapofanyika shughuli za maisha.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Dkt. Boniface Kasululu amesema malengo ya mkoa ni kuongeza kiwango cha kaya zenye vyoo bora kutoka 78% hadi kufikia 100% na kuongeza kiwango cha kaya zenye vifaa vya kunawa mikono kutoka 35% hadi kufikia 50% ifikapo Disemba 2023.

Kwa upande wake Afisa mabadiliko tabia ya jamii kutoka taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Communication and Development Center (TCDC) Gaston Gration amesema kuwa magonjwa mengi ya tumbo na kuhara wanayo umwa wanachi wa Songwe yanatokana na uchafu wa kuto kunawa mikono sambamba na uchafu na uharibifu wa mazingira.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.