• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JAMII ISHIRIKISHWE KUWAFIKIA WATOTO WASIOPATA CHANJO YA SURUA. Dkt. KASULULU.

Posted on: April 5th, 2023

JAMII ISHIRIKISHWE KUWAFIKIA WATOTO WASIOPATA CHANJO YA SURUA. Dkt. KASULULU.

SONGWE: Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Boniface Kasululu ametoa wito kwa timu za usimamizi wa huduma za Afya ngazi ya Halmashauri na Mkoa kuwatumia vizuri viongozi ngazi ya jamii ili kuwafikia watoto wote wenye umri chini ya miaka ya mitano ambao hawajapata chanjo ya surua Rubella dhidi ya ugonjwa wa Surua.

Dkt. Kasululu ametoa wito huo kwenye kikao kazi cha tathinini ya zoezi la utoaji wa chanjo kwa watoto wa umri chini ya miaka mitano kufuatia zoezi la chanjo lililofanyika 29 Machi hadi Aprili 2 kwa lengo la kuwatambua watoto wasiopata chanjo na wale ambao hawakumaliza chanjo mbalimbali.

"Viongozi wa kitongoji tukiwashirikisha wao wanazijua vizuri kaya ambazo zina watoto wa umri chini ya miaka mitano na kwa kufanya hivyo tutakuwa tunawafikia watoto wengi zaidi kwa wale wasiopata na wasiomaliza chanjo" Dkt. Boniface Kasululu Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa.

Pia, Dkt. Kasululu ameziagiza Timu za usimamizi wa huduma za Afya Mkoa na Halmashauri kutumia takwimu vizuri walizonazo pale wanapokwenda kuwafutilia watoto ambao hawajapata au kutomaliza chanjo.

Tunajua tuna mfumo mzuri wa kuweka kumbukumbu zetu vizuri kuanzia pale mtoto anapozaliwa hadi kwenye mahudhurio ya kliniki na watoto wote tunajua wanatoka mtaa, kitongoji gani sasa tuende tukatunie vizuri takwimu izi kwa kushirikiana na jamii kuwafikia watoto wasiomaliza chanjo na wale wasiopata kabisa, amesisitiza Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Boniface Kasululu.

Mratibu wa chanjo Mkoa wa Songwe, Moses Lyimo amesema zoezi la utoaji wa chanjo kwa watoto ni endelevu watahakikisha wanawafikia watoto wote ambao hawajapata chanjo ya Surua Rubella lakini kwa wakati huo huo watalamu watamfuatilia mtoto kama amepata chanjo nyingine kama vile Polio, Penta na wakimkuta mtoto mojawapo hakupata chanjo hiyo basi atapatiwa hapo hapo.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.