• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA SONGWE AMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

Posted on: December 6th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji Tunduma. Ziara hiyo ililenga kufuatilia maendeleo ya miradi mbalimbali inayoendelea, na kuhakikisha kuwa miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kutoa manufaa kwa wananchi. Baadhi ya miradi iliyokaguliwa ni pamoja na:






Mradi wa Bwawa la Maji Chiwanda ametembelea eneo la mradi wa Bwawa la Maji Chiwanda wenye Jumla ya thamani zaidi ya Tshs Bilioni 1.3, ambao unatarajiwa kutoa huduma za maji kwa wananchi wa Vijiji Saba (7) vinavyopakana na bwawa hilo. Mradi huu ulianza mwezi Agosti 2023, na inakadiriwa kukamilika mwezi Januari 2024. Bwawa hilo linasimamiwa na Mamlaka ya Bonde la Ziwa Rukwa, na Mhe. Dkt. Francis alisisitiza umuhimu wa kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati ili kuleta tija kwa jamii.


Kituo cha Afya Chapwa amekagua kituo cha afya Chapwa na kutoa maelekezo kuhusu kuimarisha huduma za afya. Alihakikisha vifaa tiba vipo vya kutosha na kuwahimiza watoa huduma kutoa huduma bora kwa wananchi. Pia, alifanya ukaguzi wa ujenzi unaoendelea wa kituo hicho ili kuhakikisha ubora na kufanikisha kukamilika kwa wakati.


Ujenzi wa Madarasa Mapya Shule ya Sekondari Chapwa amekagua ujenzi wa madarasa mapya Unao endelea katika Shule ya Sekondari Chapwa pamoja na kuzungumza na Wanafunzi wakidato cha kwanza katika Shule hiyo. Alitoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi huo kuhakikisha kuwa madarasa hayo yanakamilika kabla ya Januari 2024 ili kuwezesha kupokea wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza pamoja na kuwahidi wanafunzi kujengewa Magoli kwajili ya mpila wa miguu (football) na Mpira wa kikapu (Netball).


Shule ya Sekondari Dkt. Samia SH amekagua maendeleo ya ujenzi katika Shule ya Sekondari Dkt. Samia SH. Aliwataka wasimamizi wa mradi kusimamia ujenzi kwa umakini na kuhakikisha madarasa yanakamilika kwa wakati. Aidha, aliahidi kuwapatia wanafunzi vifaa vya michezo kama magoli ya mpira wa miguu na kikapu.


Kituo cha Afya Mwaka Kati Pamoja na ziara hiyo, Mhe. Dkt. Francis amekagua hali ya kituo cha afya Mwaka Kati na kupongeza mradi kwa hatua uliopo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.