• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA SONGWE ATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU LA KUKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA VIBANDA VWAWA

Posted on: November 27th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Dkt. Francis Michael ametekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa la kuongea na wafanyabiashara wa stendi ya Malori katika mji wa Vwawa Wilayani Mbozi na kufikia muafaka wa ulipaji wa kodi za vibanda.

Dkt Michael, ametekeleza agizo hilo leo Jumatatu Novemba 27, 2023 ambapo amekutana na wafanyabiashara hao katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.

Akizungumza katika kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Songwe amesema kuwa Serikali ina nia njema ya kuwasaidia wananchi wake hivyo wawe na imani na Serikali yao.

Baada ya kusikiliza hoja za wafanyabiashara hao, kikao hicho kilitoka na maamuzi ya kila mfanyabiashara kulipa Sh20, 000 kwa mwezi kwa kila kibanda.

Dkt Michael ametoa maelekezo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Abdallah Nandonde  kuwa katika bajeti ya 2024/2025 Halmashauri ihakikishe inatenga fedha kwaajili ya ujenzi wa miundombinu ya kisasa katika vibanda hivyo ili kuleta sura nzuri ya mji wa Vwawa.

"Katika bajeti ya mwakani vibomolewe vibanda vijengwe upya na tutaingia mikataba upya, kwasababu saivi ni vurugu hapa kuna watu wanalipa zaidi, na kuna watu wanaoitwa wenye vibanda hawataki tuongeze bei. Sasa ndio maana nasema nanyi mpate kidogo lakini mwakani pale vibanda vitavunjwa tunaingia mkataba upya" amesisitiza

Amesema kuwa zitatangazwa fomu na watu watajaza ili kutuma maombi na watu wote watafanyiwa tathmini na wanaofanya biashara katika maeneo yale watapewa kipao mbele.

"Wale wanaofanya biashara pale watapewa kipaombele, na mhakikishe vibanda hivyo vinakua vikubwa na vyemye ubora" ameagiza

Awali wafanyabiashara hao walikua wakichangia Sh7,000 ambayo ilionekana Halmashauri inapoteza mapato mengi kwa kutoza kiasi ambacho hakiendani na uhalisia wa bei ya vibanda kwa sasa ambapo baadaye Halmashauri ilipendekeaza Sh30,000 kwa kila kibanda

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.