• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA SONGWE MHE. DKT. FRANCIS K. MICHAEL AWATAKA VIONGOZI KUSHIKAMANA KUKOMESHA MIMBA ZA UTOTONI

Posted on: October 31st, 2023

Dkt. Francis amesema kuwa Mkoa wa Songwe unaongoza kwa idadi ya watoto wanaopata mimba za utotoni, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Alisisitiza kuwa mimba za utotoni zinasababisha watoto kuolewa badala ya kusoma na kuchangia katika ujenzi wa taifa. Pia, alibainisha kuwa baadhi ya wazazi na walezi wanahusika kinyemela katika suala hili.


Mkuu wa Mkoa ametoa agizo kwa Afisa Elimu wa Mkoa wa Songwe na wadau wengine, ikiwemo Jeshi la Polisi, kuwatafuta na kuwachukulia hatua wale wote waliohusika na kukatisha masomo ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari. Aidha, wametakiwa kutoa taarifa kuhusu hatua zilizochukuliwa katika suala hili


Mkuu wa Mkoa amewataka wadau, ikiwemo Afisa Elimu wa Mkoa, Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Songwe, na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, kushirikiana katika uchunguzi wa kesi za watoto wanaokatishiwa masomo au wanaoacha masomo kwa sababu ya mimba za mapema. Pia, ametoa muda wa siku tatu kwa taarifa za uchunguzi kutolewa ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa.


Mkuu wa Mkoa amesisitiza umuhimu wa kulinda haki za watoto na kuwasihi wazazi na walezi kuacha tamaduni zisizofaa za kuwaoza watoto kwa ajili ya mali au kuwaweka kwenye uchungaji wa mifugo. Badala yake, amewahimiza kuwapeleka watoto shuleni ili waweze kujenga mustakabali bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.