• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA ILEJE ATIMIZA AGIZO LA MKUU WA MKOA KUMREJESHA MWANAFUNZI ALIYEACHA SHULE KWA KUKOSA HELA YA CHAKULA.

Posted on: November 20th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Ileje  Mhe.Farida Mgomi ametekeleza agizo la Mkuu  Wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt.Francis K Michael Kwa kumrejesha shuleni mwanafunzi anayedaiwa kuacha shule na kwenda kufanya kazi za ndani mjini Tunduma.

Mwanafunzi huyo amekabidhiwa shuleni hapo na mkuu wa wilaya Mhe. Farida Mgomi Novemba 20,2023 mbele ya mkuu was mkoa wa Songwe Dkt.Francis Michael ambapo baada ya kukabidhiwa mkuu wa mkoa ametoa maelekezo mapya kwa ofisa elimu mkoa kuhusu wanafunzi wanafunzi wa kike katika mkoa wa Songwe.

Mhe. Mgomi amesema jitihada za kumpata mwanafunzi huyo zimezaa matunda Kwa kumtafuta na kumkuta akiwa Tunduma Kwa mama ake mdogo  kutokana na wazazi kukosa fedha ya chakula ambapo kama ofisi ya mkuu wa wilaya  itagharamia Kwa lengo la kumsomesha mwanafunzi huyo.

"Kurejea Kwa mwanafunzi huyu ni faraja Kwa uongozi wa wilaya kuhakisha adhima ya kuanzishwa Kwa shule.ya wasichana wilaya ya Ileje kuwakomboa watoto wakike linatimia ikiwepo kuwasaidia wanafunzi ambao wazazi wao watashindwa kuwatolea michango ya chakula," amesema Mhe. Mgomi.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Songwe amepongeza jitihada za mkuu wa wilaya kufanikisha kumrejesha mwanafunzi huyo huku akiwaasa wanafunzi wa shule hiyo kutumia nafasi hiyo kujiendeleza kielimu.

Dkt. Francis, amemwagiza Afisa elimi mkoa wa Songwe kuhakikisha anafanya zoezi la kutembelea shule zote za bweni za wasichana kubaini wanafunzi walioacha shule kwa kukosa fedha ili wawarejeshe kama ilivyofanyika wilaya ya Ileje katika shule ya wasichana Ileje.

Irene Mwazembe mwanafunzi aliyerejeshwa shuleni hapo amemshukuru mkuu wa wilaya Kwa kujitoa kubeba gharama zote zinazohitajika ikiwepo chakula huku akisema wazazi wake kutojiweza ndiko kulimfanya aache shule.

"Nakuahidi mkuu wa wilaya mbele ya mkuu wa mkoa nitahakikisha fadhira Yako nairejesha Kwa maana ya kusoma Kwa bidii mpaka nifike hatua ya juu zaidi na niwasihi wanafunzi wenzangu msikate tamaa kuendelea na masomo hususani katika shule hii ya wasichana," amesema Irene.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.