• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

OPARESHENI MAALUMU VITA DHIDI YA MAGENDO YAKAMATA MAGARI 14

Posted on: May 6th, 2022

OPARESHENI MAALUMU  VITA DHIDI YA MAGENDO YAKAMATA MAGARI 14.TUNDUMA: Magari 14 yamekamatwa yakiwa na bidhaa za magendo ya thamani ya zaidi Milioni 185 katika Oparesheni Maalumu ya kupambana na magendo katika Mpaka wa Tunduma iliyoundwa na Kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Songwe.Mkuu wa Mkoa amesema ayo, Mei 5 akiwa Tunduma wakati wa ukaguzi wa  oparesheni maalumu ambayo ilianza 13 Aprili 2022 ikishirikisha vyombo vyote vya Usalama na TRA.Mkuu wa Mkoa amesema Kati ya Magari 14 ambayo yamekamatwa moja linatoka ofisi yake na lingine ni gari ambalo limekuwa likitafutwa kwa miaka mingi bila Mafanikio.Mhe. Omary Mgumba amesema bidhaa za magendo zilizokamatwa ni vitenge, pombe kali, vipodozi vikali vilivyozuiliwa kwa mujibu wa sheria zetu, vipo vifaa vya stationery, mayai, vinywaji na bidhaa za kula."Pamoja na bidhaa izo tumefanikiwa kukamata watu 14 madereva wa magari kati yao wawili tunawashikilia bado na wengine wamekimbia na msako unaendelea dhidi waliokimbia  kupitia kwa wamiliki wa magari kwani wao ndio waliowaajiri" Mhe. Omary Mgumba.Pia, Mkuu wa Mkoa amesema Serikali chini ya kikosi kazi inaendelea kuwatafuta watu wote walioingiza magendo nchini kwani gari lenyewe haliwezi kuiba au kuingiza magendo bali kuna mtu ambaye anahusika."Kwa sasa mumiliki wa gari atapigwa faini kwa kosa la gari yake kubeba magendo lakini bado atatusaidia kumpata dereva aliyemuajiri ili naye dereva atupatie mtu aliyepakia au aliyekuwa anapeleka mzigo wa magendo ili tuweze kupunguza au kukomesha vitendo vya magendo" Mhe. Omary Mgumba.Aidha, Mkuu wa Mkoa amesema katika oparesheni hii Maalumu Serikali imefanikiwa kukusanya fedha zaidi ya Milioni 45 za adhabu kwa waliokamatwa.Kaimu Meneja wa TRA Mkoa wa Songwe,  Dickson Kamala amesema magendo yote yanaanzia nchi ya Zambia na bidhaa inayoongoza kukamatwa ni vitenge, mayai na vipodozi na Serikali inaandaa utaratibu mzuri kuna bidhaa zitauzwa kwa mnada na nyingine zitafanyiwa uharibifu.MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI DATA CLEARK, CLINICIAN NA NURSE October 01, 2021
  • FURSA ZA AJIRA KWA MKOA WA SONGWE September 02, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UMASIKINI WATAJWA CHANZO CHA UKATILI KWENYE FAMILIA.

    May 15, 2022
  • RC MGUMBA AZIJULIA HALI FAMILIA ZIZOPOTEZA NDUGU KWA MAPOROMOKO YA UDONGO.ILEJE

    May 02, 2022
  • OPARESHENI MAALUMU VITA DHIDI YA MAGENDO YAKAMATA MAGARI 14

    May 06, 2022
  • DKT. KASULULU AZITAKA CHMT ZIFANYE KAZI KWA KUFUATA MIONGOZO, SERA NA SHERIA ZA AFYA.MBOZI:

    May 07, 2022
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Boma Road, Vwawa, Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.