• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS SENEDA ATAKA WATALAMU WA ARDHI KUONGEZA KASI YA UPIMAJI MKOA

Posted on: May 19th, 2023

  RAS SENEDA ATAKA WATALAMU WA ARDHI KUONGEZA KASI YA UPIMAJI MKOA

SONGWE: Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amewataka watalamu wa Ardhi kuongeza kasi ya kupanga Mkoa vizuri haswa Yale maeneo ambayo yamekuwa na yanakuwa kwa kasi.

Katibu Tawala ametoa wito huo kwenye kikao kazi cha watalamu wa Sekta ya Ardhi Mkoa wa Songwe kilichofanyika Mei 18 na kuwakutanisha watalamu wa Ardhi kutoka Halmashauri za Mkoa wa Songwe pamoja na Wakurugenzi watendaji wa Halmashauri.

"Kuna maeneo tayari wananchi wamejenga na hakujapangwa vizuri ni kazi yetu watalamu kuendelea na mpango wa kurasimisha ili pakae vizuri, haipendezi kwa Mkoa mpya wa Songwe kuwa na sehemu ambazo hazijapangwa vizuri" Bi. Happiness Seneda.

Pia, Katibu Tawala wa Mkoa, Bi. Happiness Seneda amesema Serikali inawategemea sana watalamu wa Ardhi katika kufanikisha kuupanga Mkoa vizuri kuanzia ngazi ya Mkoa hadi kwenye Halmashauri.

Aidha, Bi. Happiness Seneda ametoa wito kwa watalamu wa Ardhi kufanya kazi kwa kushirikiana na kutengeza timu nzuri ya kufanikisha kuupanga Mkoa. vizuri.

Kamishina wa Ardhi Mkoa wa Songwe, Bwn. Erasto Mosha amewataka watalamu wa Ardhi wawe wanatoa taarifa ya kazi mbalimbali wanazozifanya kwa viongozi wao ngazi ya Kata, Halmashauri, ili jamii ijue kuna kazi inafanyika.

Naye, Msajili wa Hati msaidizi, Frida Mwasulama amewaomba watalamu wa Ardhi ngazi ya Halmashauri kujiandaa na mpango wa kutoa Hati ya umiliki wa sehemu ya jengo (Unit titles) ambao utaruhusu mwananchi aweze kutoa umiliki wa sehemu ya jengo lake, mfano, jengo ya gorofa mumiliki anaweza kuuza sehemu ya juu na mtu aliyenunua akapata hati ya umiliki.

MWISHO.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.