• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC KINDAMBA AAGIZA MIKAKATI YA KUDHIBITI KIPINDUPINDU KISITOKEE IIMARISHWE

Posted on: October 18th, 2022

RC KINDAMBA AAGIZA MIKAKATI YA KUDHIBITI KIPINDUPINDU KISITOKEE IIMARISHWE

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa pamoja na timu yake ya afya kuhakikisha wanajipanga vizuri kudhibiti ugonjwa wa kipindupindu kuingia Nchini ambao tayari umeripotiwa kuenea kwa sehemu kubwa na mamlaka za Nchi ya Malawi.

Mhe. Waziri Kindamba amewataka watalamu wa Afya kuimarisha mifumo yote ya Afya ikiwemo elimu kwa umma juu ya hatua za kuchukua ili kujiepusha na ugonjwa wa kipindupindu kuingia hapa nchini.

Mhe. Kindamba amesema ugonjwa wa kipindupindu ni hatari hivyo ni vyema kuzingatia usafi wa mazingira ili kuweza kuepuka ugonjwa kuingia Nchini.

Serikali haipendi kusikia ugonjwa huu umeingia nchini, nami sitaki kusikia hivyo, ukizingatia sasa tunaenda kwenye msimu wa mvua na Nchi jirani tayari ugonjwaa upo, ni wakati sasa timu za Afya ngazi ya Mkoa na Wilaya kuimarisha huduma mpakani ili kudhibiti ugonjwa huu, amesema Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba.

Mganga Mkuu Mkoa wa Songwe Dkt. Boniface Kasululu amesema tayari timu ya watalamu wa Afya wameanza kutoa elimu kwa wananchi na viongozi wa vijiji vilivyopo mpakani juu ya kujikinga na kipindupindu ambao umeripotiwa nchini Malawi.

Pia, Dkt. Boniface Kasululu ametoa wito kwa wananchi kuhakikisha wanazingatia Kuchemsha maji ya kunywa au kuyatibu na dawa na kuyaweka sehemu salama, kujiepusha kuchafua vyanzo vya maji kwa kuoga au kufulia, kuepuka kula chakula kilichopoa au kinachoandaliwa katika Mazingira yasiyo safi na salama, kunawa mikono kwa maji tiririka kwa sabuni, kuosha matunda kabla ya kula ili waweze kujikinga na kipindupindu.

Aidha, Dkt. Kasululu ametoa wito kwa mwananchi ambaye atapata ugonjwa wa kutapika na kuharisha kufika mapema katika vituo vya kutolea huduma za Afya ili apatiwe matibabu haraka, kwani moja ya dalili za kipindupindu ni kuharisha na kutapika.

Bwn. Abu Zuberi Msemo Mkurugenzi wa mawasiliano kutoka kampuni ya Tanzania Communication and Development Center (TCDC) ameiomba Serikali kusaidia upatikanaji wa maji Safi sehemu za mikusanyiko kama shuleni, Sokoni na kuhakikisha sehemu izo wanatumia vyoo bora ili kujikinga.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.