• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MGUMBA ATOA WITO WA KUVITENGENEZA VITUO VYA RASILIMALI KILIMO VYA KATA.MBEYA:

Posted on: June 9th, 2022

RC MGUMBA ATOA WITO WA  KUVITENGENEZA VITUO VYA RASILIMALI KILIMO VYA KATA.MBEYA: 

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba ametoa wito kwa Mikoa ya Nyanda za juu kusini kuvikarabati vituo vya rasilimali Kilimo vya Kata ambavyo viko kwenye baadhi ya Kata ili wananchi wapate fursa ya kujifunza Kilimo na ufugaji bora wakiwa kwenye maeneo yaoMkuu wa Mkoa amesema hayo leo Juni 9 kwenye kikao cha Kanda ya Nyanda za juu kusini cha kujadili maandalizi ya maonesho ya nanenane ambayo Kitaifa yatafanyika Mbeya Agosti 2022."Lengo la vituo rasilimali Kilimo ni kumuwezesha mkulima kujifunza kwa vitendo Kilimo bora na ufugaji maana sio wakulima wote wanaweza kwenda kwenye maonyesho ya nanenane lakini uwepo wa vituo hivyo unawasaidia wakulima" Mhe. Omary Mgumba.Mkuu wa Mkoa amesema, Songwe imejipanga vizuri kuelekea maonyesho haya ya Kitaifa ya nanenane na Mkoa unaandaa makala maalumu ya fursa za Kilimo na ufugaji kwa Songwe.Mwaka 2006 Serikali ilianzisha vituo vya rasilimali Kilimo vya Kata kwa malengo ya kuweka mashamba darasa kwa wakulima dhidi ya mazao mbalimbali wanayolima kwenye maeneo yao pamoja na ufugaji na Songwe vipo katika Kata ya Kamsamba, Kanga na Igamba.MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.