• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SENSA KWENDA KUFANIKISHA ZOEZI UVISHAJI WA HERENI ZA MIFUGO.

Posted on: August 16th, 2022

SENSA KWENDA KUFANIKISHA ZOEZI UVISHAJI WA HERENI ZA MIFUGO.

Na. Nicholas Ndabila

SONGWE: Ifikapo tarehe 23 Agosti 2022 Nchi itafanya zoezi la Sensa ya watu na makazi, ambapo moja ya taarifa zitakazokusanywa ni pamoja na idadi ya mifugo iliyopo katika Kaya na aina ya ufugaji unaotumika.

Afisa Mifugo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Omary Kapeyu amesema baada ya zoezi la Sensa litakalo saidia kutoa takwimu sahihi za idadi ya mifugo na sehemu inakopatikana itawasaidia watalamu Kuongeza nguvu ya kutoa elimu kwa wafugaji juu ya umuhimu wa mifugo kutambuliwa kwa kuvalishwa heleni za kielotriniki tofauti na sasa ambapo zoezi linaenda kwa kazi ndogo.

Afisa Mifugo ametoa wito kwa Wafugaji wote kujitokeza kwa wingi kuhesabiwa na kuwapa ushirikiano makalani wa Sensa watakapopita katika maeneo yao, Aidha, wafugaji wanashauriwa kutoa takwimu sahihi wakati wa zoezi hilo ili kuiwezesha Serikali kupanga mipango ya Maendeleo.

Mkoa wa Songwe ulipokea hereni elfu 68,100 kwa ajili ya Ngombe, Mbuzi, Punda na Kondoo hadi sasa ni mifugo elfu 1760 tayari imeshatambuliwa kwa kuvalishwa hereni na zoezi bado linaendelea.

Aidha, Afisa Mifugo Mkoa wa Songwe, Ndg. Omary Kapeyu ameeleza Faida za Mifugo kuwa na hereni ya kielektroniki ni kuwa mifugo itatambulika mahali ilipo na umiliki wake, Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko, Kuwa na hakikisho la usalama wa chakula, Kurahisisha biashara ya Mifugo na mazao yake ndani na nje ya nchi, Udhibiti wa wizi wa mifugo, Kurahisisha upatikanaji wa mifugo iliyopotea, Kurahisisha uboreshaji wa koosafu za mifugo na mwisho kabisa Utambuzi utawezesha urahisi wa upatikanaji wa mikopo na bima ya Mifugo.

“kwa sasa ifikapo Septemba 2022, mfugo ambayo itakuwa haijavalishwa heleni haitaruhusiwa kuingia machinjioni kuchinjwa, Haitaruhusiwa kuuzwa katika Minada, Haitaruhusiwa kutumika kutolewa mahari, hivyo nitoe wito kwa wafugaji kuchangamkia kuweka heleni za kieletroniki kupunguza kadhia zitakazojitokeza” Ndg. Omary Kapeyu Afisa Mifugo Mkoa wa Songwe.

Bei elekezi ya kuvisha heleni za kielotriniki kwa Mifugo ni shilingi 1,750 Ng'ombe na Punda huku Mbuzi na Kondoo ikiwa ni shilingi 1,000 na changamoto kubwa ya zoezi ili ni wafugaji wa kuhama hama.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.