• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YAAGIZA KITUO CHA AFYA NDOLA KUANZA KAZI

Posted on: August 25th, 2022

SERIKALI YAAGIZA KITUO CHA AFYA NDOLA KUANZA KAZI

ILEJE: Serikali ya Mkoa wa Songwe imeagiza Kituo cha Afya Ndola kianze kutoa huduma kuanzia tarehe 29 Agosti 2022 kwa huduma za wagonjwa wa nje na maabara.

Agizo ilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Cosmas Nshenye ambaye ni muwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Songwe wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi wilayani Ileje, 25 Agosti 2022.

Muwakilishi wa Mkuu wa Mkoa ametoa agizo ilo kufuatia kukamilika kwa jengo la wagonjwa wa nje na maabara baada ya Serikali kuleta fedha za awali milioni 250 fedha za tozo za miamala kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Ndola.

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amesema majengo yamekamilika tayari hakuna sababu ya kuendelea kusubiria hadi yakamilike mengine wakati huduma zinaweza kuanza kwa majengo yaliyopo kama la wagonjwa wa nje na maabara.

"Mkurugenzi simamia ili leta watumishi na vifaa tiba pamoja na dawa, wananchi waanze kupata huduma hapa uku wakisubiria kukamilika kwa majengo mengine" Bi. Happiness Seneda.

Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Mhe. Anna Gidarya amesema tayari Serikali kuu imeleta fedha milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Ndola, fedha ambazo zinatokana na tozo za miamala.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI DATA CLEARK, CLINICIAN NA NURSE October 01, 2021
  • FURSA ZA AJIRA KWA MKOA WA SONGWE September 02, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAANDALIWE VIZURI KUPOKEA MRADI, RC KINDAMBA.

    October 27, 2022
  • RAIS SAMIA ARIDHIA WANANCHI WA NKANKA KUBAKI KWENYE HIFADHI.

    October 24, 2022
  • SILINDE: KITONGOJI CHA NKANKA KUPATA SHULE, BARABARA.

    October 24, 2022
  • WAKULIMA KUPATA MBOLEA YA RUZUKU KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA.

    October 22, 2022
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.