• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SILINDE: KITONGOJI CHA NKANKA KUPATA SHULE, BARABARA.

Posted on: October 24th, 2022

SILINDE: KITONGOJI CHA NKANKA KUPATA SHULE, BARABARA.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. David Silinde amesema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuridhia wananchi wapatao 3,000 wanaoishi katika hifadhi ya msitu wa Ileje Renger katika kitongoji cha Nkanka Kijiji cha Itumba wilayani Ileje kuendelea kubaki Serikali itaanza ujenzi wa shule shikizi ya msingi na barabara.

Mhe. David Silinde ameyasema hayo leo Oktoba 25, 2022 katika ziara ya kamati ya mawaziri wa kisekta inayoshughulikia migogoro ya Ardhi ilipokuwa inaongea wananchi wa kitongoji cha Nkanka, ambao kitongoji hicho kipo katikati ya hifadhi ya msitu wa Ileje Renger na ambao wameishi hapo kwa zaidi ya miaka 40.

Mhe. Silinde amesema baada ya mchakato wote kukamikika, ujenzi wa shule ya msingi shikizi utaanza na badae itasajiliwa kuwa shule kamili kwa kuwa ni dhamira ya mheshimiwa Rais kumaliza changamoto zote za miundombinu kwenye sekta ya elimu.

Mhe. Silinde amesema ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa ifikapo 2027 changamoto za miundombinu kwenye elimu nchini ziwe zimemalizika kabisa na analeta fedha nyingi za kumaliza changamoto za miundombinu kwenye elimu.

Mhe. David Silinde amesema Ofisi ya Rais-TAMISEMI inasimamie miradi nmikubwa ya kutatua changamoto za miundombinu katika elimu hapa nchini, ukiwemo mradi Boost una fedha zaidi ya tirioni 1.1 ambazo kazi yake ni nikuboresha elimu ya msingi kwa kujenga shule mpya na kuboresha zilizopo, mradi wa SEQUIP kwa ajili ya kujenga Sekondari mpya kwenye kata ambazo hazina, mradi wa lipa kulingana na matokeo (EP4R)

Kuhusu Barabara ya Nkanka, Mhe. Silinde amesema baada kumaliza changamoto TARURA Ileje watakuja kuisajili ili Serikali itoe fedha na iweze kutengenezwa vizuri.

Agnes Nyondo mwananchi wa kitongoji cha Nkanka amesema baadhi ya viongozi kuwaambia wahame wamejikuta wanashindwa kufanya mambo ya maendeleo, kama kujenga ,na kulima kwani wamekuwa wakiishi kwa hofu, hivyo wamemshukuru Rais Samia kwa uhamuzi wake wa kuwataka wabaki katika eneo hilo

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI DATA CLEARK, CLINICIAN NA NURSE October 01, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANAWAKE WAGUSA MAISHA YA WATU WENYE WAHITAJI

    March 08, 2023
  • WITO WATOLEWA WANAWAKE KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI ZILIZOPO.

    March 06, 2023
  • NIMEKUJA KUBORESHA MAZURI YOTE, RC MICHAEL.

    March 03, 2023
  • TUTAFANYA KAZI NA WADAU WOTE KUTIMIZA LENGO LA SERIKALI: RC MICHAEL.

    March 02, 2023
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras.songwe@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.