• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SONGWE IMEJIPANGA KUHAMASISHA UZALISHAJI WA MAZAO YA MAFUTA YA KULA

Posted on: May 31st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba amesema Mkoa umejipanga kuamasisha wakulima kulima mazao ya mafuta ili kukabiliana na uagizaji wa mafuta Nje ya Nchi unaopelekea mafuta kuadimika na bei kuwa juu, mazao ambayo yanalengwa ni Alzeti, Karanga, Soya na Michikichi.

Mhe. Omary Mgumba ameongea ayo wakati wa makabiziano ya miche ya michikichi 20,000 kwa Mkoa wa Mbeya na Songwe kutoka ASA, hafla iliyofanyika Magamba Mbozi.

Mhe. Mgumba amekabidhi Miche 20,000 kwa Mkoa wa Songwe na Mbeya, kwa Songwe Wilaya ya Songwe na Momba zimepata miche 2,500 kila moja na Busukelo na Kyela zimepata 7,500.

"Serikali kukabiliana na tatizo la upungufu wa mafuta ya kula imeanza kutoa bure miche ya michikichi ili wakulima walime sehemu inayokubali na hapa Songwe kuna maeneo ya Momba na Mbozi inakubali awali miche hii iliuzwa kati ya 2,000 hadi 3,000 lakini Serikali imeamua kugawa bure kwa wananchi ili kukabiliana na upungufu wa mafuta ya kula" 

Omary Mgumba.Pia, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa wakulima kuongeza uzalishaji wa Alzeti kwa kuwa mafuta yatokanayo na Alzeti mkulima mwenyewe anaweza kujikamulia na kuondokana na upungufu lakini kutokana na viwanda vinavyojengwa Songwe vitahitaji sana Alzeti hivyo ni fursa kwa wakulima kuzalisha Alzeti  na mazao mengine kama Soya na Karanga ya kutosha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.