• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SONGWE YAPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO KWA MIAKA MITATU MFULULIZO

Posted on: April 28th, 2021

Mkoa wa Songwe umefanikiwa kupunguza vifo vya akina mama wajawazito kutokana na ongezeko la vituo vinavyotoa huduma ya  mama na motto kutoka 156 mwaka 2018 hadi kufikia vituo 185 kwa mwaka 2021 ikiwa ni pamoja na vituo vya Afya 7 vilivyoanza kutoa huduma ya upasuaji.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Hamad Nyembea amesema 2018 kulikuwa na vifo 32, 2019 vifo 31, 2020 vifo 23 na 2021 kwa robo ya Januari na Machi vifo vitano tu.

Dkt. Nyembea ameongeza kuwa kwa kipindi cha Januari hadi Machi ya kila mwaka kutoka 2018-2021, Mkoa umezidi kupunguza vifo ikiwa 2018 kulikuwa na vifo 12, 2019 vifo  13, 2020 vifo 10 na kwa mwaka 2021 vifo 5 tu ikiwa ni mafanikio ya 50% na katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje hakukuwa na kifo hata kimoja.

Dkt. Nyembea amesema lengo la Mkoa ni kupunguza vifo vinavyozuilika vya mama mjamzito kwani asilimia 95 ya vifo vyote vinavyotokea vinaweza kuzuilika na watalamu kukiwa na miundombinu bora kwani  sababu nyingi za vifo huwa ni nyepesi sana.

Pia, Dkt. Nyembea ameeleza sababu za vifo kwa wajawazito kuwa ni kuvuja damu nyingi ukeni, kifafa cha mimba, upungufu wa damu, kuchelewa kuanza kliniki  na matatizo mengine.

Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Joseph Mkude ameeleza sababu kubwa iliyopelekea Wilaya hiyo kutokuwa na kifo chochote cha mama mjamzito kwa kipindi cha miezi 4 ni kutokana na Kamati ya Usalama Wilaya hiyo kushiriki katika mapambano ya kutokomeza vifo vya akina mama kwa kuiweka kama agenda ya kudumu ya Kamati ya Usalama.

Pia, Mkude amesema ofisi ya Mganga Mkuu ilimshirikisha vizuri na waliweza kuzunguka vituo vyote kufanya ukaguzi wa kuhakikisha kuwa vifaa tiba na Dawa zote muhimu vinakuwepo kwenye vituo vyote.

"Baada ya kuzunguka vituo vyote Kamati ya Usalama tulianza kufuatilia mapungufu yote na kutoa maagizo nadhani ndio sababu kwa sasa Ileje hakuna kifo cha mama mjamzito.”, amesema Mkude.

Naye Mratibu wa Afya ya Uzazi na Mtoto Mkoa wa Songwe, Eva Mwakyusa amesema sababu nyingine iliyopelekea Songwe kupunguza vifo ni  kutoa ushauri wa kitalamu pamoja na kutoa mafunzo kazini ya jinsi ya kukabiliana na dharura ya uzazi kwa vituo vinavyotoa huduma hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.