• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TIMU YA WATALAMU WA AFYA YAANZA KUFUATILIA SABABU YA VIFO VYA UZAZI KWENYE JAMII

Posted on: July 29th, 2021

TIMU YA WATALAMU WA AFYA YAANZA KUFUATILIA SABABU YA VIFO VYA UZAZI KWENYE JAMII.

SONGWE: Katika kuhakikisha vifo vya uzazi vinapungua au kumalizika kabisa Timu ya Afya Mkoa wa Songwe (RHMT) kwa kushirikiana na Timu za Afya za Halmashauri (CHMT) wameanza kufuatilia kwenye jamii ambapo kifo cha mzazi kimetokea kwa kushirikiana na Uongozi wa Kata na Kijiji pamoja na kushiriki mazishi ya Marehemu kwa ajili ya kutoa Elimu ya uzazi salama.

Timu ya Watalamu wa Afya imefika katika Kata ya Mkomba Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Kata ya Itaka Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi na Halmashauri ya Wilaya ya Songwe.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Hamad Nyembea amesema wanafanya hivi kutekeleza maagizo ya Mkuu wa Mkoa, Omary Mgumba aliyotoa wakati wa kikao kazi cha kujadili vifo vya uzazi kwa robo ambacho Mkoa unafanya kila robo.

Mratibu wa Afya ya Uzazi Mkoa wa Songwe, Eva Mwakyusa amesema ufuatiliaji huu wa kifo cha mzazi unaanzia ngazi ya Kituo cha Afya ambapo kifo cha Marehemu kimetokea hadi kwenye jamii anapoishi ili kujua tatizo limetokea wapi na kuhakikisha halijitokezi tena.

Ikumbukwe kwa Mkoa wa Songwe kutoka Januari hadi Juni 2021 kumetokea vifo 12 vya uzazi ambavyo vilikuwa vinauwezo wa kuzuirika kama Mama mjamzito angefuata ushauri alioapewa na watalamu wa Afya, Gari la kubeba wagonjwa lingekuwepo kwa wakati na watalamu wa Afya kuchukua hatua za makusudi na kwa haraka kwa mujibu wa taratibu za taaluma yao

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.