• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UTALII WA MATIBABU WA NYEMELEA MKOANI SONGWE

Posted on: November 23rd, 2023

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe ambayo baadhi ya majengo yamekamilika na kuanza kutoa huduma.

"Mkoa wa Songwe umepokea shilingi bilioni 579 ambazo zimepelekwa kwenye miradi mbalimbali. Nimekuja kuwahakikishia wananchi kuwa Serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuwahudumia katika sekta mbalimbali kama vile maji, elimu na afya," amesema.

Akizungumza na wananchi na viongozi walioshiriki uwekaji jiwe la msingi leo (Alhamisi, Novemba 23, 2023), Waziri Mkuu amesema hospitali hiyo ni ya kimkakati kwani inahudumia wagonjwa kutoka Malawi na Zambia.

Akitoa maelezo ya mradi huo, Mkandarasi Elekezi, Eng. Victor Vedasto alimweleza Waziri Mkuu kwamba baadhi ya majengo kama maabara na OPD yamekamilika na yameanza kutumika. "Jengo la Mama na Mtoto limefikia asilimia 54 ya utekelezaji, la EMD na ICU limefikia asilimia 80,nyumba ya mtumishi imekamilika na inatumika.

Alisema ili hospitali hiyo iwe imekamilika kwa mujibu wa taratibu za Wizara ya Afya, inapaswa iwe na majengo zaidi ya 17 lakini hadi sasa
majengo matano ndiyo yamejengwa na baadhi yanatumika.

Naye, Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dkt. Juma Ramadhani Juma alisema hospitali hiyo ina uwezo wa kulaza wagonjwa 60kwa wakati mmoja na ina uwezo wa kuhudumia wagonjwa 80 kwa siku.

"Tumeshatoa huduma kwa wananchi milioni 1.3, tuna huduma za kibingwa za watoto, macho, afya ya mama na uzazi na huduma za dharura. Ujenzi ulikamilika utawasaidia wananchi ambao sasa hivi wanaenda umbali wa KM. 100 kupata huduma ambazo hazipatikani hapa kwetu," alisema.

Hospitali hiyo ambayo ilianza kujengwa mwaka 2019, hadi sasa imeshatumia sh. bilioni 16.3 ambazo kati yake sh. bilioni 13.1 zimetumika kwa ujenzi na sh. bilioni 3.2 zimetumika kununulia vifaa tiba

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.