• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UZINDUZI WA CHANJO YA POLIO MKOA WA SONGWE 2023

Posted on: September 21st, 2023

Katibu Tawala Msaidizi Mpingo na Uratibu Ndg. John Mwaijulu amekuwa mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dk. Francis Michael, katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio iliyofanyika katika eneo la Mlowo, Wilaya ya Mbozi.

Katika hotuba yake, Ndg. John Mwaijulu alitangaza kwamba zoezi hilo la chanjo litafanyika kwa siku nne, kuanzia tarehe 21 hadi 24 Septemba 2023, na kuwataka wananchi wa Mkoa wa Songwe kuhakikisha watoto wao walio chini ya umri wa miaka 8 wanapata chanjo dhidi ya ugonjwa hatari wa polio.

Alisema, "Chanjo hii ni salama kabisa na itatekelezwa nyumba kwa nyumba, mashuleni, na katika nyumba za ibada. Natoa rai kwa wananchi wote kuepuka kuamini taarifa zozote za uzushi kuhusu chanjo hii."

Mwakilishi kutoka TAMISEMI, Ally Kananika, alitoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika kampeni hii ya chanjo. Alisisitiza kuwa Wizara ya Afya na TAMISEMI zimejitolea kuhakikisha jamii inalindwa dhidi ya magonjwa yanayoweza kuzuilika kwa chanjo, na hivyo aliwasihi wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao wanapata chanjo hiyo muhimu.

, Afisa Programu kutoka Wizara ya Afya, Penifored Joel, alisisitiza umuhimu wa wananchi kushiriki katika zoezi la chanjo na kuendelea kufuatilia chanjo kwa watoto wao hata baada ya kipindi cha kampeni kukamilika. Alieleza kuwa chanjo ni kinga ya kudumu dhidi ya ugonjwa wa polio na magonjwa mengine, na hivyo ni jukumu la kila mzazi na mlezi kuhakikisha watoto wao wanapata kinga hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.