• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VITUO VYA RASILIMALI KILIMO KUIMARISHWA KWA TEKNOLIJIA.

Posted on: August 19th, 2022

VITUO VYA RASILIMALI KILIMO KUIMARISHWA KWA TEKNOLIJIA.

Na. Nicholas Ndabila

SONGWE: Serikali ya awamu ya sita imeongeza nguvu katika kuimarisha vituo vya Rasilimali Kilimo vilivyopo kwa zana za kisasa na teknolijia ili kupeleka teknolijia kwa wakulima wajifunze vizuri.

Hayo amesema Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bwn. Vanscar Kulanga katika hafla ya kukabidhi pawatila kwa Halmashauri ya Momba maalumu kwa ajili ya kituo cha Rasilimali Kilimo cha Kamsamba pamoja na kukabidhi dawa kwa ajili ya zao la Korosho ambalo linalimwa kwa Halmashauri ya Momba na Songwe, hafla imefanyika katika ofisi za Mkoa, Agosti 19.

Kulanga, amesema Serikali imejipanga ifikapo 2030 Kilimo kiweze kuchangia asilimia 10 ya pato la Taifa na kufika lengo ni kuimarisha vituo vya Rasilimali Kilimo vya Kata ili mkulima aweze kujifunza kwa vitendo.

"Tunataka kuona pawatila hii inakwenda kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa, wakulima wa Kamsamba wakanufaike kwani inatakiwa iwe kwenye Kituo cha Rasilimali Kilimo cha Kamsamba" Vanscar Kulanga.

Ndg. Vanscar Kulanga amesema Serikali inataka kuona yanayofanyika katika maonesho ya Nanenane yafanyike kupitia vituo vya Rasilimali Kilimo vilivyopo kwenye kata ili mkulima aweze kujifunza vipando mbalimbali vya mazao mbalimbali pamoja na ufugaji wa kisasa.

"Kwa sasa Mkoa una vituo 3 vya Rasilimali Kilimo cha Kanga kilichopo Wilaya ya Songwe, Iganba cha Mbozi na Kamsamba cha Momba na Wizara ya Kilimo imeonyesha nia ya kutujengea vituo 12 kama hivyo kwenye kila Tarafa lengo ni teknolijia ya Kilimo iwafikie wakulima wengi zaidi" Ndg. Vanscar Kulanga.

Pia, RUWASA watapeleka maji kwenye vituo vyote Ili muda wote kuwe na shughuli za Kilimo na mifugo zinazoendelea, amesema, Vanscar Kulanga.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Dkt. Amani Kilemile amesema pawatila waliyopata itakwenda kupeleka teknolijia kwa wakulima na wafugaji wa Kata ya Kamsamba.

Wakati huo huo,Ndg. Vanscar Kulanga amekabidhi dawa lita 324 kwa ajili ya zao la Korosho kwa wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe na Momba.

Mkoa wa Songwe una hekta zaidi ya 200,000 zinazofaa kwa kilimo cha Korosho na hadi sasa ni hekta zipatazo 2,475 ambazo zimeisha limwa Korosho kwa Wilaya ya Songwe na Momba.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.