• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKULIMA KUPATA MBOLEA YA RUZUKU KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA.

Posted on: October 22nd, 2022

WAKULIMA KUPATA MBOLEA YA RUZUKU KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA.

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Waziri Kindamba amezindua mpango maalumu wa kugawa mbolea ya Ruzuku kwa wakulima kupitia vyama vya ushirika, wakulima watapata mbolea kupitia vyama vyao vya ushirika vilivyopo kwenye maeneo yao.

Uzinduzi huo umefanyika, Oktoba 21 wakati wa mafunzo kwa ajili ya wenyeviti, makatibu meneja wa vyama vya ushirika, Kwa vyama ambavyo vimepata dhamana ya kuwahudumia wakulima kupata Mbolea ya Ruzuku.

Mhe. Waziri Kindamba amesema Songwe inakuwa ya kwanza Tanzania kuanzisha mpango huu ambao unakwenda kusogeza mbolea ya Ruzuku kwa wakulima waliopo vijijini kupitia ushirika.

"Nampongeza sana Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha shilingi Bilioni 150 kwa ajili ya Mbolea ya Ruzuku na kupunguza kwa bei ya Mbolea kwa 50%, hakika Mama ameupiga mwingi sana" Mhe. Waziri Kindamba Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Mrajis msaidizi wa Ushirika Mkoa wa Songwe, Benjamin Mwangala amesema kwa mujibu ya msingi wa 6 wa Ushirika unataka ushirika kujali jamii kilipo chama cha ushirika, hivyo kupitia mpango huu mwanachama na mwananchi anayeishi karibu na chama anatakiwa kunufaika na Mbolea ya Ruzuku.

Julius Maliki, Afisa mauzo kutoka kampuni ya ETG amesema wameongeza maghala ya kuhifadhia Mbolea ya Ruzuku katika mji wa Vwawa, Mlowo na Tunduma pamoja na usafiri wa kuhakikisha zinafika hadi kwenye vyama vya ushirika.

Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa wakulima kutumia vizuri Mbolea ya Ruzuku ili waweze kulima kwa tija na kuongeza kipato cha mkulima na Taifa.

Pia, Mhe. Waziri Kindamba ametoa wito kwa wakulima kujiunga kwenye vyama vya ushirika ili waweze kupata huduma kwa pamoja.

Wakati huo huo, Mhe. Waziri Kindamba amevitaka vyama ushirika kumiliki mashamba yao na kuanzisha kilimo cha block farming.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.