• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKULIMA WATAKIWA KUWATUMIA VIZURI MAAFISA UGANI.

Posted on: October 13th, 2022

 WAKULIMA WATAKIWA KUWATUMIA VIZURI MAAFISA UGANI.

SONGWE: Serikali metoa wito kwa wakulima nchini kuwatumia vizuri Maafisa ugani ambao wako kila kijiji na Kata ili wakulima waweze kulima kwa tija na kwa Biashara.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mhe. Queen Sendiga wakati akimuwakilisha Waziri wa Kilimo kwenye kilele cha siku ya Mbolea Duniani ambayo kitaifa imefanyika Mkoa wa Songwe katika viwanja vya Kimondo wilayani Mbozi.

"Serikali ya Mhe. Samia Suluh Hassan imeweka maafisa ugani katika ngazi za kata na vijiji na maafisa ugani wamepewa usafiri na vifaa vya kitaalamu vya kupimia udongo nitoe rai kwa wakulima kuwatumia wataalamu hawa ili kuinua Kilimo chetu" Mwakilishi wa Waziri wa Kilimo, Mhe. Queen Sendiga Mkuu wa wa Mkoa wa Rukwa.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mhe. Queen Sendiga ametoa wito kwa wakulima kuendelea kujisajili kielektroniki kwa ajili ya kupata Mbolea ya Ruzuku kwa kuwa zoezi ili halina mwisho kwa sasa.

Aidha, Mhe. Queen Sendiga ametoa rai kwa viwanda vya Mbolea ambavyo bado havijakamilika kuongeza kasi ya kukamilisha ili Mbolea iingie sokoni kwani mahitaji ya Mbolea ni makubwa ukilinganisha na viwanda vilivyopo.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Samia Suluh Hassan iko tayali kumsaidia mfanyabiashara yeyote mwenye kiwanda cha mbolea kuhakikisha ana kamilisha ujenzi wa kiwanda, kwani lengo la Serikali ni kuwasaidia wananchi kupata Mbolea kwa urahii na wepesi zaidi, amesema Mwakilishi wa Waziri wa Kilimo, Mhe. Queen Sendiga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.

Kwaupande wake Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Waziri Kindamba amesema usalama wa chakula unatakiwa kupewa kipaumbele na ndio sababu Mhe. Samia Suluh Hassan ameamua kutoa fedha kwa ajili ya Mbolea ya ruzuku ili Kila mkulima apate Mbolea ya bei nafuu na kupata chakula kwa ajili ya familia yake na Taifa.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.