• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATOTO 478,010 KUPATA CHANJO , POLIO AWAMU YA PILI SONGWE

Posted on: October 30th, 2023

.WATOTO zaidi ya 478,010 wenye umri chini ya miaka nane wanategemewa kupata chanjo ya polio awamu ya pili mkoani Songwe inayotegemewa kufanyika kuanzia novemba 2, hadi 5 mwaka huu 2023.

Akifungua kikao cha taarifa ya ya kampeni ya chanjo ya polio awamu ya pili inayotarajia kuendeshwa mikoa sita Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt Francis Michael amesema lengo la kufanya kampeni ni kutokana na ugonjwa wa polio ambavyo umekuwa tishio kwa miaka mingi katika nchi nyingi Duniani.

"Ugonjwa wa polio hauna tiba lakini unaweza kuzuiliwa kwa kupata chanjo ya matone au sindano, hivyo njia kuu ya kujikinga na ugonjwa wa polio ni kupitia chanjo ya polio ambayo imekuwa ikitolewa muda mrefu kwa watoto chini ya miaka mitano" amesema .

Alisema kwa mara ya mwisho Tanzania ilipata mgonjwa wa polio mwezi julai  mwaka 1996, lakini hivi karibuni nchi jirani na Tanzania zimekumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa polio ikiwemo Malawi, Zambia, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.


"Tanzania tumepata kisa kimoja cha mtoto wa umri wa mwaka mmoja aliyethibitika kuwa na ugonjwa huo katika mkoa wa Rukwa" alisema Dkt Francis.

Mganga mkuu wa mkoa wa Songwe Dokta Boniface Kasululu amesema utekelezaji wa kampeni ya polio awamu ya kwanza iliyofanyika  September 21, hadi 24 mwaka huu 2023 walengwa wenye umri chini ya miaka nane (8) walikuwa 402,644 .

Amesema lakini kwa awamu hiyo ya kwanza jumla ya watoto 478,010 walifikiwa sawa na asilimia 118.7.

"Walengwa ni watoto wote wenye umri chini ya ya miaka 8, waliozaliwa kuanzia mwaka 2016, ambapo kwa mkoa wa Songwe ni watoto wote waliopata chanjo awamu ya kwanza wasiopungua 478010" amesema Dokta Kasululu.

Mwakilishi kutoka Tamisemi Carle Lyimo amesema mkoa wa Songwe ni miongoni mwa mikoa ambayo imefanya vizuri katika chanjo ya awamu ya kwanza kwa kufikia 118.7.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.