• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI TUJIANDAE KUSTAFU, RAS SENEDA.

Posted on: August 12th, 2022

WATUMISHI TUJIANDAE KUSTAFU, RAS SENEDA.

SONGWE: Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amewataka watumishi wenzake kujiandaa kustafu katika utumishi wa umma ili muda utakapofika wa kustafu wasipate shida.

Bi. Happiness Seneda amesema mtumishi unapopata barua ya ajira ya kwanza ndio muda wa kuanza kujiandaa kustafu, hivyo amewataka maafisa utumishi kuwapa elimu watumishi wote kujiandaa kustafu.

"Haipendezi mtumishi unafika umri wa miaka zaidi ya 50 ndio unaanza kujifunza kufuga kuku, kulima au biashara wakati hivi unapaswa kujifunza ukiwa kazini" Bi. Happiness Seneda.

Katibu Tawala Mkoa, Bi. Happiness Seneda amesema mtumishi anastafu anapata kiinuo mgongo badala ya kimuinue kweli matokeo yake kina mvunja mgongo kwa kuanza kazi ambazo hajawai kufanya.

Sifa kubwa ya ujasilimali ni kufanya mara kwa mara ili iweze kufanikiwa ili siku ukistafu zile fedha zinakusaidia kwenye kwenye mtaji wa kazi yako, sasa hujafanya ujasiliamali ukiwa na umri wa miaka 15, 30 au 50 ndio uje ufanye umestafu hii haiwezekani, amesema Bi. Happiness Seneda.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA PROGRAM JUMUISHI YA TAIFA YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO (PJT-MMMAM) MKOA WA SONGWE

    September 21, 2023
  • UZINDUZI WA CHANJO YA POLIO MKOA WA SONGWE 2023

    September 21, 2023
  • MKUTANO WA SITA (6) WA BARAZA LA BIASHARA 2023

    September 13, 2023
  • ZIARA YA SIKU TATU YA WAZIRI WA AFYA MHE. UMMY MWALIMU MKOA WA SONGWE

    September 11, 2023
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.