• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MKUU AAGIZA BALAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA ILEJE SHULE YA SEKONDARI ILEJE GIRLS KUPANDISHWA HADHI YA KIDATO CHA TANO NA SITA.

Posted on: November 23rd, 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Bi. Nuru Waziri Kindamba kuanza mchakato wa kuifanya Shule ya Sekondari ya Wasichana (Ileje Girls) iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje kuwa na hadhi ya kidato cha Tano na Sita (Advance).

Waziri Mkuu ameyasema hayo Novemba 23, 2023 wakati wa ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje ambapo alipata fursa ya kukagua ujenzi wa majengo ya shule hiyo huku alionesha kuridhishwa na kiwango cha ubora wa mradi huo ambao umegharimu zaidi ya kiasi cha shilingi milioni 500 za kitanzania.


Akihutubia wananchi mara baada ya kukagua mradi huo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatoa pesa nyingi sana kutekeleza miradi ya maendeleo hususan katika nyanja ya Elimu.


Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amesema kuwa Serikali itahakikisha majengo mapya ya Maabara katika shule ya wasichana ya Ileje (Ileje Girls) inapata vifaa vya kisasa ili iweze kuwa na tija kwa wanafunzi na kusaidia katima utoaji wa elimu bora yenye matokeo chanya kwa wanafunzi.

@ileje_dc

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.