• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MKUU 'AKOSHWA NA UJENZI WA SHULE YA MSINGI DR SAMIA SH'.

Posted on: November 24th, 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa(MB), Ameelezea furaha yake juu ya maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Msingi Dr Samia SH iliyopo katika Wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe. Ujenzi huo umetekelezwa chini ya Mradi wa BOOST, ambao una lengo la kuboresha ya Shule za Msingi nchini.

Akizungumza wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Songwe, Waziri Mkuu ameipongeza Shule ya Dr Samia SH kwa kuwa mfano bora wa shule inayotia moyo na kuvutia. Amesifia juhudi za viongozi wa ngazi ya mkoa na ngazi ya wilaya kwa kusimamia mradi huo hadi kuifanya shule hiyo kuwa bora na yenye hadhi ya kitaifa.

Aidha, Ameelezea kuvutiwa kwake na muundo mzuri wa shule hiyo, akibainisha kuwa inapaswa kuwa kigezo kwa shule nyingine. Ameonekana kuvutiwa na mandhari mazuri, kuanzia ofisi za walimu hadi madarasa, ambayo amesema ni mazingira yanayowavutia wanafunzi kuhudhuria shuleni na hivyo kuwapa motisha na uwezo mkubwa wa kusoma na kujifunza.


Waziri Mkuu pia ametoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Shule na Afisa Elimu kwa utendaji wao mzuri na uongozi wao katika kusimamia shule hiyo. Amesema mchango wao umesaidia kufanikisha malengo ya mradi na kufanya Shule ya Dr Samia SH kuwa taasisi inayojivunia na inayoheshimika kitaifa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.