• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA TATHMINI YA MAHITAJI YA VYUMBA VYA MADARASA NA MADAWATI MKOA WA SONGWE

Posted on: November 22nd, 2018
  1. Kikao hiki cha tathmini ni maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2019, - Afisa Elimu Mkoa Juma Mhina.
  2. Wanafunzi 22,057 ikiwa wavulana 10,300 na wasichana 11,757 walifanya mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi mkoa wa Songwe Septemba 5-6, 2018, ­- Afisa Elimu Mkoa Juma Mhina.
  3. Matokeo yaliyotoka 23 Oktoba, 2018 yameonyesha ufaulu kwa ngazi ya Mkoa umepanda kwa asilimia 10 huku wanafunzi 16,291 wakifaulu kujiunga na kidato cha kwanza ikiwa wavulana ni 7,436 na wasichana 8,855, - Afisa Elimu Mkoa Juma Mhina.
  4. Mkoa unahitaji madarasa 373 kwa ajili ya wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza 2019, yaliyopo ni 219 hivyo upungufu ni madarasa 154, aidha mahitaji ya madawati ni 14,846 yaliyopo ni 6,076 na hivyo upungufu ni madawati 8,770, - Afisa Elimu Mkoa Juma Mhina.
  5. Kwa namna yoyote ile Januari 2019 wanafunzi wote watakaochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza lazima waanze shule,- Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila.
  6. Mkoa utafanya ufuatiliaji wa maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza 2019 hususani suala la vyumba vya madarasa na madawati, - Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila.
  7. Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya zifanye operesheni ya kuhakikisha vyumba vya madarasi na madawati yanakamilika ndani ya mwezi mmoja, - Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Rtd) Nicodemus E. Mwangela.
  8. Halmashauri zote ziwasilishe ndani ya siku tano mpango wa utekelezaji maandalizi ya mapokezi ya Kidato cha kwanza 2019 hususani namna ya kukamilisha vyumba vya madarasa na madawati,- Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Rtd) Nicodemus E. Mwangela.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.