• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA Mhe EXAUD KIGAHE KATIKA MKOA WA SONGWE

Posted on: August 9th, 2023

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Exaud Kigahe, amefanya Ziara tarehe 9 Agosti 2023 katika Mkoa wa Songwe na kupokelewa na mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt Francis Michael. Ziara hiyo ilijumuisha Kaimu Meneja wa Shirika la Maendeleo la Viwanda Vidogo (SIDO) Mbeya, Bi Sari Magarasi, pamoja na wadau wengine wa Biashara na Viwanda.

Ziara hiyo ilikuwa ni fursa adhimu ya kuwaleta pamoja viongozi na wataalamu wa sekta ya viwanda na biashara ili kujadili njia bora za kukuza uchumi. Ziara hiyo ililenga kujadili mbinu za kuongeza ufanisi katika uzalishaji, kukuza thamani ya bidhaa zinazozalishwa, na kuhamasisha uwekezaji katika mkoa huo. Pia, walijadili jinsi ya kukabiliana na changamoto za kiuchumi kama vile upatikanaji wa masoko, na hata na changamoto zinazo kabili sekta binafsi katika uwekezaji.

"Nipo hapa kwaajili ya mpango wa kuboresha mazingira ya sekta binafsi ambayo ni maelekezo ya Rais Samia kuboresha sekta binafsi ambayo ni injini ya uchumi wa Tanzania na Dunia kwa ujumla Ujue sekta binafsi ikisimamiwa vizuri inafanya vizuri.Tunataka kuona taasisi za Serikali zinawezesha taasisi binafsi kupata huduma bila vikwazo ili kurahisisha ufanyikaji wa biashara katika mpaka wa Tunduma".

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt Francis Michael amesema kuwa Songwe ni mkoa wa kimkakati na wamejipanga kuwaita wawekezaji kuwekeza zaidi katika sekta ya viwanda vitakavyozalisha mchele kutokana na mkoa huo kuzalisha mchele bora na usiotumia mbolea. aidha amewataka Sido kujenga ofisi yao karibu na ofisi za makao makuu ya mkoa wa Songwe ili kurahisisha wananchi kupata huduma jirani.

kaimu Meneja wa SIDO Mbeya, Bi Sari Magarasi,alitoa ufafanuzi kuhusu jukumu la SIDO katika kuendeleza viwanda vidogo vidogo. Alielezea jinsi SIDO inavyotoa mafunzo na ushauri kwa wajasiriamali ili kuwawezesha kuanzisha na kuendeleza viwanda vidogo vinavyotengeneza bidhaa mbalimbali. Hii ina lengo la kukuza uchumi wa eneo hilo na kutoa fursa za ajira.

Ziara hiyo pia inaonyesha dhamira thabiti ya serikali katika kufanya kazi kwa karibu na viongozi wa ngazi za chini na wadau wa sekta ya viwanda ili kufikia malengo ya maendeleo. Kwa kuwekeza katika viwanda vidogo vidogo na kusaidia wajasiriamali, Mkoa wa Songwe una nafasi nzuri ya kustawi kiuchumi na kuleta mabadiliko chanya kwa wananchi wake.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE MHE. FARIDA MGOMI KWA NIABA YA MKUU WA MKOA AFUNGUA HUDUMA YA WIKI YA SHERIA MKOANI SONGWE

    January 25, 2025
  • TASAF MKOA WA SONGWE IMEFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI NA KUJIONEA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANUFAIKA WA TASAF MOMBA

    January 03, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI NA MTOTO MKOANI SONGWE.

    November 07, 2024
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.