• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
SONGWE REGION
SONGWE REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MKOA WA SONGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Sehemu
      • Mipango na Uratibu
      • Idara ya Elimu
      • Huduma za Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • Wilaya
    • Mbozi DC
    • Songwe DC
    • Momba DC
    • Ileje DC
  • Halmashauri
    • Mbozi
    • Ileje
    • Momba
    • Songwe
    • Tunduma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Mifugo
    • Madini
    • Kilimo
    • Biashara
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya na Ustawi Wa Jamii
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma ya Mifugo na Uvuvi
    • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
    • Mipango na Takwimu
    • Ujenzi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wandali

HISTORIA. 

Tafiti zinaonesha kuwa hakuna mwenyeji wa Wilaya ya Ileje. Wakazi wa Ileje wamehamia kutoka sehemu mbalimbali za Rungwe, Mbeya Vijjini, Zambia, Malawi na Afrika kusini. Kuna makabila makuu matatu yakiongozwa na Wandali, Walambya ambao wapo katika nchi ya Tanzania na Malawi, Wamalila, na makabila madogo ya Waiga, Wanyiha na Wanyamwanga.  

UTATUZI WA MIGOGORO

Wandali wanapinga na kushughulikia uharibifu wa mazingiara, mauji ya Wazee na Walemavu, vitendo vya ushirikina na Wizi wa aina yoyote ile.

Tatizo la mtuhumiwa yeyote linachukuliwa ni tatizo la ukoo mzima na utatuzi huhusisha ukoo wake.

 HIFADHI YA MAZINGIRA

 Wandali wanaishi katika sura ya nchi iliyo katika miinuko na mabonde yenye hali yenye ubaridi na ubichi mwaka mzima hivyo kuwafanya wafanye kazi za kilimo kwa mwaka mzima. Hali hiyo inaruhusu uwepo wa miti mingi ya asili na ya kupanda. Jamii hii hutumia misitu kwa ajili ya matambiko, kupata dawa za asili, kupata matunda na mbao. Ni manufaa haya ambayo yanawafanya wazuie watu wasikate miti ovyo.

SHUGHULI ZA KIUCHUMI.

Wandali ni Wakulima, Wafugaji, Wahunzi na Wasukaji. Katika kilimo wanalima Mahindi, Ndizi, Ulezi, Magimbi, Viazi na Jamii ya mikunde kama Kunde, Maharage, kutengeneza bidhaa zinazotokana na mianzi.; Wanafuga ng’ombe, Mbuzi, Kondoo, na Kuku; Wahunzi wanatengeneza zana za matumizi ya nyumbani kama shoka, Nyengo na Silaha kama Mikuki na mishale.

Vilevile wanatengeneza bidhaa mbalimbali zinazokana na mianzi kama Nyungo, Viti, Meza, na mapambo mbalimbali.

Wandali wanasifiwa kwa uwezo wao wa kufanya kazi kwa bidii kama kilimo,  na biashara.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI January 30, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA MOMBA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 11, 2025
  • RC CHONGOLO AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI HOJA ZILIZO BAINISHWA KATIKA RIPOTI YA CAG HALMASHAURI YA MBOZI

    June 10, 2025
  • RC CHONGOLO APIONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE KWA KUPATA HATI SAFI

    June 10, 2025
  • SERIKALI YA SAINI MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 119.9 UJENZI WA MRADI WA MAJI TUNDUMA VWAWA

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

ELIMU KWA WATOTO KIPINDI CHA CORONA
Video za Ziada

Kurasa za Karibu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • SALARY SLIP PORTAL
  • AJIRA

Kurasa Mashuhuri

  • IKULU
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    2 Nselewa Mkoani RD, 54180 Mlowo-Mbozi

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 23 SONGWE

    Simu: 025 2580305

    Simu ya Kiganjani: 025 2580305

    Barua pepe: ras@songwe.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki©2020 Mkoa wa Songwe.Haki Zote Zimehifadhiwa.